- Thread starter
- #21
Hiyo mbuga limeni mpunga! Mazao yanayoathiriwa na maji ni pata-potea! Pia mnaweza anzisha kilimo cha dengu, mafuriko yakikata mwezi Wa nne mnapiga dengu! Yasipokuwapo unaponea kwenye hiyo alizeti! Niliishi Kasulu tukakuta raia mbuga hawazitumii tukawafundisha KILIMO cha mpunga, sasa hivi Kasulu inawika kwa KILIMO cha mpunga! Wasukuma hoyeeeeeeee!
nataka kulima dengu mwezi wa nne