Nimelima nyanya heka 1 nimepata faida ya Tsh. Milioni 9 ndani ya miezi minne

Nimelima nyanya heka 1 nimepata faida ya Tsh. Milioni 9 ndani ya miezi minne

Pole s
Umepataje faida yote hiyo mkuu? Umevuna lini mbona kila Kona watu tunalia bei mbaya huku mpaka sasa hivi wengine tumetelekeza tunaandaa mbegu nyingine tu maana hela haiwez kurudi tenaView attachment 3084185
Kilogram moja imedrop half price kuna mafuriko ya nyanya, kama kuna mahali soko zuri tuambizane jamani.
View attachment 3084188
Pole sana mkuu. Sasaivi mipaka imefungwa Kwa sababu ya ugonjwa wa homa ya nyani (m pox) hivyo wakenya na wanywaranda hawaji Tena wakibahatika ni Kwa binde mno.


Na hii ndio sababu nyanya imeshuka ghafla.


Mimi kama nilivyosema niliuza Kwa bei tofaut tofauti kama 45k 52k 40k nk Kwa kret.
 
Upo sawa mkuu sahivi nategemea kupanda cabbage heka3 4 wiki ijayo jtatu vijana wanaingia mzigoni kupanda. Mbegu Iko tyr
Zitunze vyema Mimi nililima nikitumia madawa yanaitwa NINJA kuulia wadudu..

Udongo wa mfinyanzi ndio unao fanya vizuri kumbuka mbolea

Mimi Kuna zilizo dumaa usiache kutupa mrejesho humu ndani

GO GO GO
 
Huku chato mganza mkuu huwa tunauza kwa kilo ila sometimes kama bei ikidrop kama hivi now crate inaenda kwa 20k shamba ila ni crate ile kubwa special ya plastic
Basi kama huwa mnauza Hadi Kwa kilo man Raha Sana,huku Dar ni makreti Tu,na nyanya ya morogoro ukianza kuingia basi bei inaporomoka
 
Pole s

Pole sana mkuu. Sasaivi mipaka imefungwa Kwa sababu ya ugonjwa wa homa ya nyani (m pox) hivyo wakenya na wanywaranda hawaji Tena wakibahatika ni Kwa binde mno.


Na hii ndio sababu nyanya imeshuka ghafla.


Mimi kama nilivyosema niliuza Kwa bei tofaut tofauti kama 45k 52k 40k nk Kwa kret.
Hiyo ndio bei sasa ya nyanya faida unaiona ila sisi tuliovuna last two weeks hizi cha moto tunakiona loss tayari.
Na wengi huku tunategemea soko kutoka Rwanda mpaka congo.
 
Basi kama huwa mnauza Hadi Kwa kilo man Raha Sana,huku Dar ni makreti Tu,na nyanya ya morogoro ukianza kuingia basi bei inaporomoka
Ndio hivyo mkuu ila hakuna guarantee kama mimi nimekutana na za uso this time around najichanga tena nina imani January hivi hasara itarudi maana nyanya ya masika huku hawalimi wanaiogopa kwa hiyo itaadimika lazima.
 
Ndio hivyo mkuu ila hakuna guarantee kama mimi nimekutana na za uso this time around najichanga tena nina imani January hivi hasara itarudi maana nyanya ya masika huku hawalimi wanaiogopa kwa hiyo itaadimika lazima.
Nyanya ya masika ni ya Moto ,inabidi utarget kuivuna wakati masika inataka kuanza,au upande katikati ya masika ili wakati inatoa maua mvua ziwe za mwisho mwisho,na wakati wa matunda ziwe zimeshakata,....ila mvua ikikutaa ndo nyanya imezaa hesabu maumivi....mbegu kama imara na kipato , midogo zinastahimili mvua,lakini sio zile za kila mara za masika...kila la Kheri!
 
Kwa nini wanaiogopa?
Nyanya ya masika ni ya Moto ,inabidi utarget kuivuna wakati masika inataka kuanza,au upande katikati ya masika ili wakati inatoa maua mvua ziwe za mwisho mwisho,na wakati wa matunda ziwe zimeshakata,....ila mvua ikikutaa ndo nyanya imezaa hesabu maumivi....mbegu kama imara na kipato , midogo zinastahimili mvua,lakini sio zile za kila mara za masika...kila la Kheri!
Refer post ya mspeasant
 
Nyanya ya masika ni ya Moto ,inabidi utarget kuivuna wakati masika inataka kuanza,au upande katikati ya masika ili wakati inatoa maua mvua ziwe za mwisho mwisho,na wakati wa matunda ziwe zimeshakata,....ila mvua ikikutaa ndo nyanya imezaa hesabu maumivi....mbegu kama imara na kipato , midogo zinastahimili mvua,lakini sio zile za kila mara za masika...kila la Kheri!
Kuna timing zangu nimefanya kutokana na hali ya hewa niliyopo ndio naandaa miche mkuu hapa kitaeleweka tu
 
Back
Top Bottom