Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
ha ha ha homeboy umeanza tena!!warmly highly humbly welcome back......hivi nimepatia ki noname hapa au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha homeboy umeanza tena!!warmly highly humbly welcome back......hivi nimepatia ki noname hapa au?
warmly highly humbly welcome back......hivi nimepatia ki noname hapa au?
mkuu umemsoma hapo juu huyo kamanda?
hahaaa lolSiyo huyo tu hommie. Mwingine huyu hapa chini!
JamiiForums MessageWe will be back shortly... Only 5 minutes pls!! - JF Management
Kwa sisi tuliosoma shule za kata intaneshno skuli tukiona neno Gender tunaliweka kundi na waziri anayeshughulikia gender issues. Sijui ni kwanini hii wizara lazima waziri awe mwanamke.Pole zake GS!!hahaaa lol
watu bwana si jui mmetumia vigezo gani kuweka kwenye kundi letu.....
Kwa sisi tuliosoma shule za kata intaneshno skuli tukiona neno Gender tunaliweka kundi na waziri anayeshughulikia gender issues. Sijui ni kwanini hii wizara lazima waziri awe mwanamke.Pole zake GS!!
Kwa sisi tuliosoma shule za kata intaneshno skuli tukiona neno Gender tunaliweka kundi na waziri anayeshughulikia gender issues. Sijui ni kwanini hii wizara lazima waziri awe mwanamke.Pole zake GS!!
Wizara ya gender huwa inakuwa na waziri mwanamke kwa kuwa viongozi wetu hawajui maana ya Gender wanafikiri ni jinsia ya kike kumbe sivyo..Nchini Finland waziri wa Gender ni mwanaume.
hahahahhahha,mwana umechimba kinoma
Kiingereza kilivyo janga la kitaifaunategemea watu waeleweje,lol
Ben hii ningeiona mchana ningeoa sadaka lunch yanguhahahahhahha,mwana umechimba kinoma
Kiingereza kilivyo janga la kitaifa unategemea watu waeleweje,lol
Wapenzi habari za masiku kadhaa.Nimatumani yangu kuwa wote tu wazima na tunaendelea vizuri na shughuli zetu za kila siku...Nilukuwa mbali kidogo nba jukwaa hili kwa sababu mbalimbali zilizokuwa nje ya uwezo wangu..Kifupi ni kwamba nilikuwa na majukumu yaliyonifanya niwe mbali na kitu kinachoitwa computer na hivyo kupitwa na mengi ndani ya jukwaaa letu murua la mapenzi..Nilikuwa napata wasaa mchache nakupitia kuleee kwenye jukwaa la siasa kidogo na kupotea..Kusema ukweli nimekosa vitu vingi vya humu na nimewamiss sana yaani ile mbaya..Nimemiss point zenu,nimemiss pumba zenu,nimemiss kucheka peke yangu,nimemiss kukuasirika peke yangu,nimemiss kufurahi peke yangu ,nimemiss na hata kuhuzunika..Vyote hivi huwa navipata ndani ya jukwaa hili..Nafurahi sana kurudi tena hewani leo...
I missed you all!
Mwaaaaaaaaaaaaaaa
Ben hii ningeiona mchana ningeoa sadaka lunch yangu
taifa hili janga baada ya janga
Hahahahaha Mkuu GS kumbe nawe huwa unacheka pekee yako na vimbwanga vya humu ndani...LOL! kumbe tuko wengi basi 🙂 Itabidi utafute kilap top kidogo dogo ile usimiss tena mavitus ya humu ndani. Unaweza kuugua bureeeee!...kisa nini umeimiss JF!....LOL!
Ha ha ha.bht bana bado hujachelewa toa lunch kesho..
Ukimwambia atoe lunch leo naweza kataa,nitadhani ni april fools...nitatupa baraka mkuu,lol
Ha ha ha.Kama ambavyo wengi tumedanganywa leo.
oooh,hun are you back?
nilikua nimekumiss sana![]()