MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 283
- 384
Wana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa.
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari nimejiwekeza nina nyumba, gari, familia, na kazi ya kudumu.
Ahsante
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari nimejiwekeza nina nyumba, gari, familia, na kazi ya kudumu.
Ahsante