digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu Umesoma alichokianndika au umekurupuka kuja kunihoji?Umejuaje ana nyumba na gari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Umesoma alichokianndika au umekurupuka kuja kunihoji?Umejuaje ana nyumba na gari?
Nimekurupuka kuhoji bossMkuu Umesoma alichokianndika au umekurupuka kuja kunihoji?
fungua gengeWana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa.
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari nimejiwekeza nina nyumba, gari, familia, na kazi ya kudumu.
Ahsante
Asante mkuu wazo lako nimelifanyia kazi.Tengeneza Banda la kawaida sana la kuku kama 200 hivi yaani mtafute fundi akupe gharama hiyo!!
Tafuta kuku was kienyeji matetea kama 60 hivi na majogoo kama 10 !!
Nunua dawa kama Newcastle wachanje !halafu tafuta OTC plus dawa ya vitamins!pumba plus chakula special utakua unachanganya na pumba na hicho chakula!!uanze baada ya muda utaanza kuuza mayai ya kuku was kienyeji!mpe hiyo task mkeo !utakua unaongeza kuku wengine pole pole na kuwachanja na kuendelea kufuga kibiashara hasa kuuza mayai tu!!Hela Yako itarudi pole pole!!
Sivyo anzisha duka la chakula kama mchele, maharage dagaa,chumvi mayai,dengu yaani mchanganyiko mama aliuze !!
Jaribu kati ya hizo mbili utakayoona inafaa!!
Kopesha tena maana una matumizi nayoWana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa.
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari nimejiwekeza nina nyumba, gari, familia, na kazi ya kudumu.
Ahsante
kama upo Mwanza nakuomba unitafute inbox Kuna mtu yupo Mwanza anaitwa ndg Charles atakuonyesha kitu Cha kufanya Kwa uwekezaji wa pesa kidogo sanaWana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa.
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari nimejiwekeza nina nyumba, gari, familia, na kazi ya kudumu.
Ahsante
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaahHello handsome [emoji7]