Mfungulie mkeo biasharaWana jamvi msaada wa mawazo kuna sehemu niliidai pesa yangu zadidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa naomba ushauri niifanyie uwekezajiau/ biashara gan ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa
Mwenyewe nimeshangaa, mtu mwenye nyumba, gari hawez shindwa manage 1.3M, labda ingekuwa 10M + tungesema sawMtumishi,una nyumba na gari ila hujui namna ya kutumia vijipesa vidogo kama hivyo?
Ok kwakuwa umeomba ushauri acha nikushauri, ingia betpawa kuna mechi ya arsenal na Chelsea ,mpe Chelsea ,ana odd 7 ,hutajuta
Mh? Mwanza! Kula supu ya sato wanne kila asubuhi kwa siku 7 utapata akili ya nini cha kufanya kama kweli una nyumba, gari, familia na kazi ya kudumu alafu unaona 1.3m kuwa hela nyingiWana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa.
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari nimejiwekeza nina nyumba, gari, familia, na kazi ya kudumu.
Ahsante
Tengeneza Banda la kawaida sana la kuku kama 200 hivi yaani mtafute fundi akupe gharama hiyo!!Wana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa.
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari nimejiwekeza nina nyumba, gari, familia, na kazi ya kudumu.
Ahsante
Umejuaje ana nyumba na gari?Mtumishi,una nyumba na gari ila hujui namna ya kutumia vijipesa vidogo kama hivyo?
Ok kwakuwa umeomba ushauri acha nikushauri, ingia betpawa kuna mechi ya arsenal na Chelsea ,mpe Chelsea ,ana odd 7 ,hutajuta
Umejuaje ana nyumba na gari?Mwenyewe nimeshangaa, mtu mwenye nyumba, gari hawez shindwa manage 1.3M, labda ingekuwa 10M + tungesema saw
Umejuaje ana nyumba na gari?
Naam!.... Nakazia hapa!πππMtumishi,una nyumba na gari ila hujui namna ya kutumia vijipesa vidogo kama hivyo?
Ok kwakuwa umeomba ushauri acha nikushauri, ingia betpawa kuna mechi ya arsenal na Chelsea ,mpe Chelsea ,ana odd 7 ,hutajuta
Okay, sikusoma yote au ameedit.Si ame andika mwenyewe mwenye uzi wake hivo vitu