Nimelipwa deni langu Tsh. Milioni 1.3 baada ya miezi 6. Nifanye uwekezaji gani?

fungua genge
 
Asante mkuu wazo lako nimelifanyia kazi.
 
Kopesha tena maana una matumizi nayo
 
kama upo Mwanza nakuomba unitafute inbox Kuna mtu yupo Mwanza anaitwa ndg Charles atakuonyesha kitu Cha kufanya Kwa uwekezaji wa pesa kidogo sana
 
Watanzania ni wababaishaji sana. Mtu kauliza ushauri anaanza tena kuulizwa maswali. Hivi angekuja na swali "nisaidieni kupata mil 1.3 ili nianzishe biashara" mngemjibuje ?.
Hela yake kalipwa huko kazini.
Anataka ushauri kama huna usichangie lolote sio sehemu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…