Nimeliwa pesa zangu na malaya

Tafuta namba nyingine halaf mwambie unamfata
 

Hao ni ME na wala sio KE, Mm wananiomba hela ya kula mara 10,000 usipotuma ni block
 


Ungekuwa karibu ningekuzaba makofi kabisa...

Hao hawatumiwagi pesa, ukisikia kaanza kukuomba hela potezea...

Wa ukweli anakuja hadi alipo kwa gharama zake kama ni outdoor na kama ni indoor pia utamkuta mahala alipo kuambia yupo...

Sasa sijui umetokea waaaapiii weweeee
 
Usije mjini.
 
Hao mademu au ni midume ila mitapeli?

Wapo mademu na wazurk tu ila ndio hatujui afya zao... ila shape zao na uzuri wao ni shida na mambo wana yaweza haswaa... ila hatujui afya zao... ila wa ukwelo huwa hawaombi hela za nauli... huwa wanakuja au unawafata inatokana na makubaliano
 
Huyo MSELA/ JAMAA/ DUME kapata buku 15 ya bureeee kabisa,,sasa hivi anakula chips yai na fanta..pole mkuu hao ndo wanaume wenzako wa Dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…