Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Kwanza Unaweza zani demu, Kumbe dume lenzi hilo.
Watu sikuhizi wanawe picha za uongo, wanawake kwa Waume, ili uingie king, uliwe kama ulivyoliwa wewe.
Hebu unadhani ni wewe tu ndiyo mjinga pekeako, hapana mpo wengi sana Tanzania, hebu fikilia, akiwapata watu 20, kwa Siku, ana haja kufanya kazi huyo.
Hakuna mwanamke, atakea fanya biashara, asbuhi, amfuate mteja wa kigamboni, mchana afuate mteja wa mbezi Luis, jioni afuate wa mbagara, si atachoka na Daladala.
Watu sikuhizi wanawe picha za uongo, wanawake kwa Waume, ili uingie king, uliwe kama ulivyoliwa wewe.
Hebu unadhani ni wewe tu ndiyo mjinga pekeako, hapana mpo wengi sana Tanzania, hebu fikilia, akiwapata watu 20, kwa Siku, ana haja kufanya kazi huyo.
Hakuna mwanamke, atakea fanya biashara, asbuhi, amfuate mteja wa kigamboni, mchana afuate mteja wa mbezi Luis, jioni afuate wa mbagara, si atachoka na Daladala.