Nimem-miss Reginald Mengi

Non sense!!Ukaweke maua kwa mengi? Ukute kaburi la babu yako hata kujengewa halijajengewa!.. au kwa kuwa alikufa masikini haja ku inspire??
Akiweka kwenye kaburi la babu yake mashada ya maua au akijenga kaburi la babu yake hataandikwa na vyombo vya habari lkn akiweka mashada ya maua kwenye kaburi la Xmengi ataandikwa magazetini. So ni swala la sifa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhh....
Mkuu, umenifanya nimewaza mbali sana aiseeeee...
Ila basi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…