History umezingua itakuwa ngumu haposalaam wajuzi wa mambo.
nimemaliza kidato cha nne, nina kiswahilic, English c, chemst d, biology c. mengine nimefeli yaani f...
Afatilie pia chuo cha Mahakama Lushoto.
Kwa ufaulu huo utaenda form 5 na hatimaye form 6. Hivyo kwa kombi YOYOTE narudia,yoyote...(hata PCB)maadamu umefaulu vizuri sana (Div 1 nzuri)unaweza kusoma sheria. Hakimu siku hz ana degree.Wenye diploma wanaishia. Nafasi za uhakimu hutangazwa. Sifa huzingatiwa.Salaam wajuzi wa mambo.
Nimemaliza kidato cha nne, nina kiswahilic, English c, chemst d, biology c. mengine nimefeli yaani F.
Lakini natamani kuwa hakimu, naomba kuuliza kwa uufaulu huu naweza kusomea sheria niwe hakimu, na kunakuwaga na chuo cha mahakimu kweli, na sifa zakujiunga na chuo hicho ni zipi? tafadhari help me!
Aamin Mungu amsaidie atimize ndoto zake!
Ccm tumekufanya nn kwan ππππππ π€£IJA mwanza na lushoto, Anza na cert Kisha dip na unaenda digrii uje uwe hakimu. Akiketwa mwanacccm mhukumu kunyongwa Hadi kifo.