Hio skimming ukimaliza inabidi upigwe msasa kabla ya kupaka rangi,hilo vumbi lake na hivi ana watoto lazima wakimbie humo ndani.blundering, skimming kipi kianze? sirikirusi anauliza
Nimeshampa madini ya kutosha hapo chini mkuu, ashindwe yeye tu huo ni ushauri tosha kutoka kwa fundi mkuublundering, skimming kipi kianze? sirikirusi anauliza
Septic tayar,nimehamia tayari mkuu
Kama huna haraka ya kuingia hapo ndani nakushauri fuata Brandering, weka ceiling board (Gypsum ceiling kama utapendelea ikifuatiwa na frem za milango na madirisha kisha fanya Skimming kwenye Ceiling na kuta za ndani, ikifuatiwa na Floor (Tiles) alafu ndiyo uweke milango (Shutter) ukimaliza amia nje
Kama una haraka ya kuzama ndani basi weka madirisha na milango, fuata floor alafu ceiling utaweka baadaye na kisha fuata utaratibu huo hapo juu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna jirani amekamilisha nyumba nilimkuta dah wakuu naomba nichomekee hii, anawatoto machokoraa kazi kuwatania wakwangu. Kila siku nakuta vilio. Namimi ni mgeni bado
Aisee!
Ili muanze kuponda?!!Picha??
Hongera,hapo ulipofika si padogo.Hongera sana! Mimi nimehamia ivoivo namalizia taratiibu usawa wenyewe umekaa vibaya kweli awamu hii
Sent using Jamii Forums mobile app
ushauri matata sana Asante Mkuu. Ukumbuke umeme nimeweka chumba kimoja tu na chooniKama huna haraka ya kuingia hapo ndani nakushauri fuata Brandering, weka ceiling board (Gypsum ceiling kama utapendelea ikifuatiwa na frem za milango na madirisha kisha fanya Skimming kwenye Ceiling na kuta za ndani, ikifuatiwa na Floor (Tiles) alafu ndiyo uweke milango (Shutter) ukimaliza amia nje
Kama una haraka ya kuzama ndani basi weka madirisha na milango, fuata floor alafu ceiling utaweka baadaye na kisha fuata utaratibu huo hapo juu
Ndio muelewe kuwa gari ni muhimu kuliko nyumba. Tuliomba jukwaa la magari mara moja likaanzishwa sasa hivi limechangamka balaa.Hongera sana mkuu.
Hivi uongozi wa JF umekataa kabisa kuweka jukwaa la ujenzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kufikiri nyumba iwe na geti ila haina fensiAhhaha hivyo hivyo