Nimemaliza wkend yangu sasa Narudi Mkoani

Nimemaliza wkend yangu sasa Narudi Mkoani

Vipi wkend yako imeendaje lakini? Huamini nini 1st lady? Unamtazamo gani sasa?

Hiyo weekend yako ni kama hujaenjoy vile ,Jmos ulikuwa ndani ya ofisi sijui uliondoka na parachute na kuingia jijini huo mchana

Jtatu asubuhi ndani ya majukumu ..hope umeenjoy 40/100 % 😀
 
Hiyo weekend yako ni kama hujaenjoy vile ,Jmos ulikuwa ndani ya ofisi sijui uliondoka na parachute na kuingia jijini huo mchana

Jtatu asubuhi ndani ya majukumu ..hope umeenjoy 40/100 % 😀

Hapana 1stlady, niliingia mujini Ijumaa jioni. Nikakaa kwa hoteli nikaondoka J.pili mchana fulani,korogwe pale nikachonga dakika kazaa(misosi) then nikaingia Moshi usiku. Leo napiga job lady,pls niamini.
 
Hapana 1stlady, niliingia mujini Ijumaa jioni. Nikakaa kwa hoteli nikaondoka J.pili mchana fulani,korogwe pale nikachonga dakika kazaa(misosi) then nikaingia Moshi usiku. Leo napiga job lady,pls niamini.

Ushindwe!!! kuiga gani huko? arghhh!!!
 
[B said:
Kibongoto[/B];595769]Wewe sio lazima uje kwangu. Nimesema atakaeenda mkoani atafute wanaJF wampe mwelekeo. Sio lazima uwe mkoa nilioko na wala sio lazima uwe wewe. Acha kushika kwenye makali,kamata kwenye mshikio mkuu. Karibu Moshi town.


we wa Kibongoto ehhhh?
 
wana JF wala hawakukutendea haki hata kidogo, maana hawakukukaribisha ili muenjoy wote, ona jamaa walivyo wachoyo, wao wanakutakai tu safari njema. Na hii inatokana na wivu wao kwa wake zao ambayo inatokana na kutojiamini. Waliogopa kukukaribisha majumbani mwao eti kisa hawana madada au mahouse gal ambao labda ungewamega, sasa kwa kuhofia kumegewa wake zao ndo hapo wakakuacha mwenyewe, mi nakupa pole sana mkuu. Ila inaonekana wewe ni kicheche ndo maana wamekuogopa
 
WanaJF asanteni sana kwa maelekezo yenu yaliyopelekea wkend yangu mjini hapa kuwa bomba. Asante Pretty kwa kile kiwanja ulichonilengesha jana. Nimekikubali haswa! Nanyi ikitokea mmekuja mkoani tutafuteni wanaJF tuwape mwelekeo. Big up,long live JF!

keep well
 
Kibongoto hilo jina huwa ni Kibong'oto najua kabisa unapenda kulitumia lakini umelikosea weka hiyo apostrophe tuende sawa.
 
nyumbani ni nyumbani...........karibu tena bongo dasalamu
 
Hapana 1stlady, niliingia mujini Ijumaa jioni. Nikakaa kwa hoteli nikaondoka J.pili mchana fulani,korogwe pale nikachonga dakika kazaa(misosi) then nikaingia Moshi usiku. Leo napiga job lady,pls niamini.

Ushindwe!!! kuiga gani huko? arghhh!!!

Nilitaka kuona kama kweli upo job au unacheki news tu hapo ofisini kwenyewe. Walewale,kujitangazia mpo bize kumbe????
teh teh kuna visa humuwatu mnapigana mabao hapahapa!kweli jf si mchezo yaani hapa mbavu zinauma kwa kucheka
 
mshamba kaoneshwa mji kafurahi mpaka jino la mwisho.

next time unistue unapokuja town nikupeleke ukatalii mbagala kuona ruins na live volcano
 
mshamba kaoneshwa mji kafurahi mpaka jino la mwisho.

next time unistue unapokuja town nikupeleke ukatalii mbagala kuona ruins na live volcano

Sawa mkuu nitakuPM siku itakapofika. Nawe ukija pande hii let me know ili tuwe tunasaidiana. Na hela zako uje nazo nitakuhifadhia pahali pa usalama kabisa. Nitakuelekeza pa kupata Mbege na nyama choma bila malipo. Urafiki ndio huu babaangu!
 
Mkuu mbona hukunitafuta nikupeleke kwenye sebene?
 
Back
Top Bottom