Nimemchagulia Ex girl wangu mume wa kumuoa

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Iko hivi..

Wakati niko na mahusiano na huyu bibie,nilijua alikua na mahusiano mengine na wanaume kama wawili hivi.
So baada ya muda me nikaamua kupita hivi na Mia then tukabaki kama washkaji ingawa nilikua bado namega kisela.

So ili kumfanya nae awe na mahusiano ya kueleweka nikamshauri aoelewe na mmoja wa miongoni mwa wale waliokua nae enzi na mimi niko nae..akaridhia.

Leo nimehudhuria harusi yao.

Nimefarijika sana kuona yule dogo kamuoa huyu manzi na mimi ntaendelea kuwa mchepuko wa huyu manzi wa muda wote coz ni asubuhi tu hapa kaja ghetto kanionjesha kimoja cha fasta ndio akaende saluni kurembwa.
 
Aisee, kwanini lakini? wewe unaona ni sawa?
 
Naambiwaga shetani yupo nakuwa mbishi lakini Kwa hii post .........EBU ONA AIBU BASI KIDOGO.
 
Sheria ni kuoa bikra, tofauti na hapo mtakua na watoto wetu kwenye ndoa zenu.
 

Mumewe Ndio jamaa aliyekutishia maisha wewe na familia yako?
 
Safi kabisa,huo ndio upendo wa kweli.Mume mpya akishindwa majukumu unaita bibie na kukaza kusaidia jahazi liendelee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…