Nimemchagulia Ex girl wangu mume wa kumuoa

Unaweza dhani story kumbe ndio yanayotokea in real life.
Kha huyo mwanamke kiboko so alikuwa ana dushelele zake tatu anajichagulia leo nikaenjoy na ipi.

Sasa mie najiulizaga kwa nini mwanamke wa hivyo asiwaambie majamaa njooni tupige threesum
 
πŸ˜€πŸ˜€ hii ni miongoni mwa ajenda iliyokuwepo kwenye mkutano mkuu wa kataa ndoa ili kuwakata wenge wanaoshabikia ndoa, sasa hapa kila mmoja ambaye ana harusi anawaza kama ni mkewe mtarajiwa ndiyo kaliwa kabla ya kwenda saluni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…