Nimemchukia mke wangu

Furushi lingine, kwakweli pole sana mwanamke mwenzangu.
 
Mke wangu hana nyodo ni mpole sana na ananiheshimu kwa kiwango kinachoridhisha. Sema tu ana vitu ambavo sikutamani kabisa mwanamke wangu awe navyo na hizo element anazo kwa asilimia kubwa sana. Mfano. Hapandi kabisa tufanikiwr ktk maisha yeye alipo anaona ndo amefika, hapendi kabisa kuwa na shughuli za pembeni za kujiongezea kipato yy akirudi kutoka job analala hadi mda wa msosi.
Mm ni mchakalikaji
 
pole sana mkuu kosa ulilofanya ni kuoana na mke wako bila kumjua na kama uuna pesa nenda ka mpime mtoto DNA ili uwe na amani kabisa. na kuhusu michepuko sio lazima kila mda una honga
 
Tulishasema ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu, hawa wengine sijui wanajipenyezaje[emoji2297][emoji2297]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana nilikuita ili utoe neno la busara.
 
Tatizo huwa hamuambiwi ukwl ndoa ni mtihani kama mitihani mingine...wenye jubilee 30,40,50 ndio washind pole mkuu ndiyo ndoa hiyo.
 
Hapo kwa mwanamke mfia dini ndugu umenigusaa...

Nina huyo dada msabato aiseeee yaaan ye na dini pua na mdomo, basi ikifika ijumaaa jioni ndo kabisa hataki sms za matusi hadi jumamosi ifike tena ni jioni.

Yeye na semina semina na yeye, huko kwenye makambi hao nahic hata anafahamika aiseeeee , naukimueleza habari za kuja kunitembeleaa utasikia mie jumamosi siwezi kukutembeleaa hata iwajee. [emoji24][emoji24]
 
Mkuu amini wewe ndio chanzo so jichunguze then ujirekebishe mapema ndugu.
 
Stress mbaya vp huna miradi mpaka mapenzi yakudrive
 
Ukitaka kujua ugumu wahao viumbe wanawake 30 hujaona wakukufaa kuoa halafu hii tabia yakutaka watoto wafanane naww nimaamzi yakisansi au ubabe tu binafsi siwezi kumuacha mwanamke kilahisi nitese watoto kisa nn.sinaga mda.wakufatilia eti amefanana nanani mbelekwambele
 
Huyo first born kapime DNA au wewe muulize vizuri wife wako. Je mtoto huyo ni wa kwako . Mtoto akishakuepo mkubwa anaweza hata kukutwanga makofi akijua wewe ni Baba yake wa kambo
 
hqhaha we mbwa 😂😂😂
 
Haqq ya mwanamke kwa mumewe kwanza kumpa unyumba hili halina mjadala)Kwanza ni sharti alale bila chupi....! Mwanamke akimnyima unyumba mumewe analaaniwa na malaika usiku wote kwasababu tendo hilo mnapata Thawabu wote....!

Jambo jingine ifanye nyumba yako kama kiongozi coz ww ndiyo nguzo na ni muhimili katika Nyumba)Kuyumba kwako ndiyo kuyumba kwa familia na Nyumba kwa ujumla....!

Kuhusu jambo la mtoto ondoa fikra potofu hata kama ukawa na mashaka kuwa siyo wako kumbuka mtoto hana makosa) Zaman wazee wetu walilea watoto ambao siyo wao na ndoa zao zilidumu vzr kitanda hakizai Haraam bro...Usiitafite Fitna sijui ya DNA utajiingiza kwenye utata mkubwa mwishowe muhanga wa hayo atakuwa mtoto..Kwani ni wangapi wanahudumia watoto ambao siyo wao,wandugu zao,jamaa zao
 
mbona wanawake wa hivyo hawakatizagi kwangu niwakomeshe ? dawa ya jeuri kiburi...me kama mtu analeta complain namtimua saa hiyo alafu naweka chuma kipya right away...chuma huliwa na chuma na dawa ya moto ni moto...
 
kmmk, thats what i am talking about....wanawake wanawapendaga mabedui....
 
Pole sana ni vizuri ukashirikisha wazazi wa pande zote mbili ikibidi hata viongozi wa Dini, kwanini akunyime haki yako ya msingi ya Ndoa?
Ikishafikia hatua ya kunyimana tendo tumaini la kuwa ndoa tamu inakuwa haipo tena. Ndoa inakua haina maana. Pamoja na mambo mengine, tendo la ndoa ndo ndoa yenyewe.
 
Ikishafikia hatua ya kunyimana tendo tumaini la kuwa ndoa tamu inakuwa haipo tena. Ndoa inakua haina maana. Pamoja na mambo mengine, tendo la ndoa ndo ndoa yenyewe.
Tunaishi kwa amani sana huezi amini. Nimekubaliana na hali ila sasa nakaza sana madem wa nie kiasi natumia hela nyingi sana kuhonga na kutumia na madem.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…