Nimemchukia mke wangu

Updates
Kumwacha mke siwezi na sio mpango wangu hata siku moja hataangekuwa natabia mbaya kama mavi sababu ana watoto wangu.
Nlimhamisha nikamjengea nyumba mkoa mwingine na watoto kwa sasa naishi peke yangu kisela huwa naenda kusalimia watoto mara kwa mara
 
Sasa nakumtomba je
 
Sasa Kwanini ufanye Umalaya hivyo?

Je mchepuko mmoja ambae mnaelewana kikemia hujampata hadi uchanganye wanawake wengi hivyo?
 
Wanawale hufanya viti kwa kujaribu mama unaruhusu kufanyiwa.. wakiona unaruhusu wanendelea na kufanya mengine mapya.

Hapo shida ni wewe bro.Uliruhusu yote hayo. Jamii imemuaminisha kwamba mwanaume bila sex haishi vizuri a ndio maana alianza kuotumia kukucontrol.

Mie nikiona tu anaanza kuleta mbamba unamuacha akae nayo tu unatafuta anaeeleweka.
 
Kingine nyie wanaume pia jitahidini kuwa wabunifu na romantic kwa wake zenu.hata nyie huwa mnajisahau pia.mnaamini kuwa mwanamke ni kumhudumia tu na kumfanya fyoko fyoko kitandani 😏
Hebu fafanua. Kwani kuna u-romantic zaidi ya fyokofyoko za kitandani?
 
Ukiachana na mambo ya kupeana hela na nini lakini kinachoweza kumfanya Mwanaume kuukamata moyo wa mwanamke ni mahaba na hiyo kitu.

Mipini si ipogo tu lakini kuna kitu wanacho wachache.

Unajua kuna Mwanaume anajua kukumbatia mpaka ujione Duniani mko nyie wawili tu Kwa wakati huo.

Just good hugging imagine?!

Anajua kuimba akiwa uwanjani kwa mashairi yenye vina Na unaona he is consistent from anachosema na kutenda!
 
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Comments zako nazielewa sana[emoji2935]
 
wakuu kwema tena. huyu mke ilibidi nimhamishe mkoa ninaoishi kwenda mkoa jirnani, nimegundua amekuwa akikopa hela kila mara bank na ni hea nyingi nikiangalia anadaiwa zaidi ya 6mil bia mimi kujua. mawazo yamenituma either anajenga kwao ama kamkopea mchizi anafnya biashara. tuna mwezi sasa hatuwasiliani kabisa na wala hajaomba msamaha, alishawahi kukopa huk nyuma bila taarifa nikamgombeza yaaisha na nikamwambia asije kurudia tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…