Nimemchukia mno Baba Mdogo baada ya kujimilikisha nyumba na eneo la babu

Babu yako ana watoto wangapi waliotangulia kuondoka kabla yake?
 
1.Eneo ni la baba yake,si lako.
2.Unavichukia vizazi vyake
vimekukosea nini?
Acha mteremko, tafuta vyako.

1.Eneo ni la baba yake,si lako.
2.Unavichukia vizazi vyake
vimekukosea nini?
Acha mteremko, tafuta vyako.
Kati ya Mimi na yeye alieshindwa kununua hata uwanja kwa hela yake akasubiri kupora ardhi kwa nguvu nani anaependa mteremko
 
Mali za babu yako zinakuhusuuu nini kijana wa ovyoooo???? ingekuwa alipewa baba yako sawa.... tafutaa mali zako kama baba ako hakukuachia kituu
 
Wamezaliwa kumi ,.wamebak saba
Usinambie kua wote wamezidiwa ujanja na mmoja.

Kuna mawili hapo, ni urithi au alishampa mwanawe mmoja kwa mapenzi yake kwake kabla hajafa?

Kama alimpa kabla hajafa basi hapo wengine hamna urithi kwenye alichompa mwanae. Kama alikua hajampa na kilibaki "cha babu" kinakua cha urithi kisheria.

Kitanzania kama alivyosema mmoja juu huko, anzeni kutoana roho kwa waganga wa kienyeji, mwisho wa siku waganga wanakua wamekula nyingi kuliko thamani ya hicho kiwanja.
 
Wapo saba kwanini apore,.. Kwa ubabe namna hiyo,..
Kama wapo hao 7, baba mdogo kazingua, kama kapewa na babu kuna uthibitisho wowote?...Kama hakuna hao watoto saba (7) wakienda Mahakamani baba mdogo atatema bungo.
 
Kama wapo hao 7, baba mdogo kazingua, kama kapewa na babu kuna uthibitisho wowote?...Kama hakuna hao watoto saba (7) wakienda Mahakamani baba mdogo atatema bungo.
Kibaya zaidi hakukabidhiwa..na alishaitwa na kuambiwa akatafute sehemu yake ili aepushe ugomvi lakini akaondoka na kususia kikako..na Mimi n mmoja ya wajumbe Siku hiyo
 
Ndo mnavyo danganyana uko kwenye kahawa .kwamba mahakamani ni mambo rahis rahisi tu hivyo sio
 
Kibaya zaidi hakukabidhiwa..na alishaitwa na kuambiwa akatafute sehemu yake ili aepushe ugomvi lakini akaondoka na kususia kikako..na Mimi n mmoja ya wajumbe Siku hiyo
Wajumbe wakomae!...kama mbwai na iwe!...
 
Kibaya zaidi hakukabidhiwa..na alishaitwa na kuambiwa akatafute sehemu yake ili aepushe ugomvi lakini akaondoka na kususia kikako..na Mimi n mmoja ya wajumbe Siku hiyo
Aliambiwa hivyo na nani?
Babu yako au nduguze
 
Babu harithiwi,. Umeshindwa kurithi alivyoacha baba yako unahangaika na babu? Hatari sana mtafutaji. Nakuhakikishia ukiendelea kujipendekeza ktk familia yao wewe ndo utakuwa wa kwanza kumfata huyo baba yao.
 
Wewe unahusika vip na hizo mali.
 
Kila mtu arithishe watoto wake. Mwambie baba Yako akupambanie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…