T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Salama wapendwa.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Leo mida ya saa 7 mchana hivi nilikuwa na mihadi ya kuonana na demu fulani hivi geto.Demu kaja geto ili tufanye yetu kule kutaka tu kuomba gemu akasema yupo kwenye Siku zake dah nikaishiwa pozi maana ile dawa inatakiwa kuimeza ndani ya saa moja kabla ya mechi.Sasa hofu yangu ni kwamba naweza kupata matatizo kwa badae??dushe liko poa tu ila nahisi kichwa kwa mbali kinanigonga.Wapendwa naomba mnijuze kama kuna madhara ya kumeza dawa ya kuongeza nguvu za kiume halafu usifanye mapenzi.