Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya wiki uje hapa utupe uzoefu wako wa kumeza tooth pick, (experience sharing)Habari wanajamvi,
Leo baada ya kula chakula cha mchana, nlichukua toothstick na kukikata kipande kikubwa kias na kusafisha meno kwa kutoa mabaki ya chakula yaliyojishikiza kati ya jino na jino,
Nkiwa na wadau napiga story, nliomba maji ya kunywa huku stoothstick ikiwa mdomoni,
Sielewi ikawaje, nmejisahau, nkajikuta nmemeza ile stick kwa maji,
Ghafla nkaisikia imekwama katika koo,
Nkikohoa itoke ikashindikana, nkaagiza ndizi mbivu na kumeza nkaona imepitiliza tumboni,
Naomba kujua madhara ntakayoyapata ama nini natakiwa kufanya kupunguza madhara km yapo.
Awe anakunya pemben mpka alione ila kama limemeguka linakata kuliko wembeMtoto kameza jino wakati wa Kula.
Kuna madhara au atalitoa kwenye haja kubwa?
Ji ujinga ujinga tuu ukute ni lizee zima linajibu hivyo na mtu anaomba ushauri...mi watu wa hivyo huwa nawadharau sana...nawaona hata maisha yao ni ya hovyo hovyo...Wewe ndo ambae ulimeza tunda ya ubiyu au mwingine tena?.....Ila majibu ya humu aisee ukiyasoma huwezi jua kama upo Facebook au kwa great thinker
Atalitoa kwny haja...jino dogo hivyo? Mwanangu alimeza sh 50 akaitoa...Mungu huwa anafanya yake kwny ishu za watoto...meza ww mkubwa sasaMtoto kameza jino wakati wa Kula.
Kuna madhara au atalitoa kwenye haja kubwa?