Nimemeza kipande cha toothstick kwa bahati mbaya, nini madhara yake.

Wewe ndo ambae ulimeza tunda ya ubiyu au mwingine tena?.....Ila majibu ya humu aisee ukiyasoma huwezi jua kama upo Facebook au kwa great thinker
 
Mara ya mwisho kupata choo ilikuwa ni lini?
 
Pole sana ndugu yangu. Kuna mambo kama mawili hivi. Moja inaweza kudhoofishwa na acid ya tumbo na hivyo kutolewa kwa njia ya haja kubwa bila madhara. Pili, inaweza kusababisha pancha kwa utumbo na hivyo kupelekea kupata maumivu makali. Ukihisi hivyo wahi kwa daktari mara moja ili upate ushauri.
 
Mtoto kameza jino wakati wa Kula.
Kuna madhara au atalitoa kwenye haja kubwa?
 
Baada ya wiki uje hapa utupe uzoefu wako wa kumeza tooth pick, (experience sharing)
 
Wewe ndo ambae ulimeza tunda ya ubiyu au mwingine tena?.....Ila majibu ya humu aisee ukiyasoma huwezi jua kama upo Facebook au kwa great thinker
Ji ujinga ujinga tuu ukute ni lizee zima linajibu hivyo na mtu anaomba ushauri...mi watu wa hivyo huwa nawadharau sana...nawaona hata maisha yao ni ya hovyo hovyo...
 
Mtoto kameza jino wakati wa Kula.
Kuna madhara au atalitoa kwenye haja kubwa?
Atalitoa kwny haja...jino dogo hivyo? Mwanangu alimeza sh 50 akaitoa...Mungu huwa anafanya yake kwny ishu za watoto...meza ww mkubwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…