Nimemeza mseto asubuhi kufika saa tisa mchana nimejisahau nikanywa bia mbili

JF kweli imevamiwa kwa Hizi comments nilihisi nipo Chit chat, Kumbe nipo JF Doctor aise hili balaa kweli kweli kila mtu nimizaha tu not good wadau,

Back to the topic mkuu apo umevuruga dozi tu kwa interval Kati ya bia ni zaidi ya masaa 6 We pita kwa daktari upate ushauri zaidi na Pia kama tumaziwa Tupiamo umo kwa Tumbo kuneutralize izo sumu
 
Kama mpaka muda huu bado una nguvu ya kuingia JF na kuandika, basi nenda kamuone daktari ukupe ushauri.
 
Mimi nimemeza mseto, half an hour later nikapiga Valeur na sina wasi wasi! Nashangaa wewe unaogopa nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…