Nimemeza tunda ya Ubuyu. Je, kuna madhara nitayapata?

Kawaida kabisa, mimi kila mara natafuna na hayana madhara yoyote. Ukitaka chukua mbegu nyingi ziwe kavu ponda kula vya ndani, ni tamu balaa. Ni kama karanga.
Ok namie nafanyaga ivyo,ila napendaga zile mbegu laini laini tu
 
Unajiita mtu mzima,halafu unauliza utoto
 
Jiandae kuota mbuyu na ulivyo mkubwa sasa sijui utaubebaje
 
Kweli jamii forum sasaivi imekuwa yakitoto sana,Mkuu kifo ni njia yetu sote hatuwezi kimbia kifo,nikiwahi mie basi ipo siku nawe utatangulia tu
Sasa nani mtoto kati wewe ulieuliza swali la kitoto,na huyo anaekufanyia joking ya parapanda? Amekufanyia hivyo ksbb ya utoto uliouliza
 
Sasa nani mtoto kati wewe ulieuliza swali la kitoto,na huyo anaekufanyia joking ya parapanda? Amekufanyia hivyo ksbb ya utoto uliouliza
Mie nimeuliza nikitaka kujua kiafya inakuwaje hapo,kama kuna madhara nayafanyaje ili yasinidhuru zaidi,
 
Mie nimeuliza nikitaka kujua kiafya inakuwaje hapo,kama kuna madhara nayafanyaje ili yasinidhuru zaidi,
Wewe hizo mbegu tu. Hakuna tunda linaloliwa,tena kama ubuyu ambao unaumung'unya,muda wowote mbegu inaweza kutereza ukaimeza,ikawa na madhara. Tushameza sana mbegu za matunda mengi hayo utotoni. Hakuna madhara. Hiyo itatoka pamoja na haja
 
Hakuna

Habari zenu wanajf,

Napenda kuuliza, mie mtu mzima nilikuwa natafuna ubuyu kwa bahati mbaya sana nikajikuta punje moja nimeimeza kwa bahati mbaya.

Je, nifanyaje ili kuweza kuitoa?

Nitashukuru sana kwa ushauri wenu jamani
 
Habari zenu wanajf,

Napenda kuuliza, mie mtu mzima nilikuwa natafuna ubuyu kwa bahati mbaya sana nikajikuta punje moja nimeimeza kwa bahati mbaya.

Je, nifanyaje ili kuweza kuitoa?

Nitashukuru sana kwa ushauri wenu jamani
Watu wanakutisha tu hamna madhara yoyote yatotokanayo na kumeza tunda ya ubuyu
Hakikisha imepita salama kooni kwa kuisindikiza na maji then endelea na maisha yako kama kawaida itatoka kikawaida tu kwa njia ya haja kubwa
Binafsi kwenye makuzi yangu nimezimeza sana tu tena sana na sikuwahi pata madhara ya aina yoyote
Wakati mwingine pendelea kula kiini cha ndani cha tunda ya ubuyu ni nzuri kiafya na ina faida nyingi (ingawa ni ngumu sana kuvunja tunda ya ubuyu kwa meno )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…