Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Usimuonee wivu mkeo wakati pesa huna.kwa macho Yang mawili bila miwani nimemshuudia mke Wangu akitoka guest house.kupitia dirisha la guest ambalo Mimi nilikua ndani ya guest hiyo alitoka pekee now nipo home hivi nilianzishe au ninyamaze
karibu jamvin
Hizi topic zingine ni masikhara tu....hamna ukweli wowote"
Hii ni chai iliyo kosa mchai chai....Kwa macho yangu mawili bila miwani nimemshuudia mke wangu akitoka guest house, kupitia dirisha la guest ambalo Mimi nilikua ndani ya guest hiyo alitoka pekee now nipo home hivi nilianzishe au ninyamaze.
Kwa macho yangu mawili bila miwani nimemshuudia mke wangu akitoka guest house, kupitia dirisha la guest ambalo Mimi nilikua ndani ya guest hiyo alitoka pekee now nipo home hivi nilianzishe au ninyamaze.
kwa Mira zetu mwanaume akiwa Malaya ni urijali mwanamke akiwa Malaya ni uhuni
Ukichepuka wewe poa akichepuja yeye ndio tatizo mmhh. Wewe kweli mpumbavu na lofa kabisa.