Nimemfa mke wangu akitoka guest

Nimemfa mke wangu akitoka guest

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
Kwa macho yangu mawili bila miwani nimemshuudia mke wangu akitoka guest house, kupitia dirisha la guest ambalo Mimi nilikua ndani ya guest hiyo alitoka pekee now nipo home hivi nilianzishe au ninyamaze.
 
Weekend hyoo@kama una evidence zotee vung kwanza k ka week iv@ili utilized akil mana now nahs una hasira mbayaa
 
kwa macho Yang mawili bila miwani nimemshuudia mke Wangu akitoka guest house.kupitia dirisha la guest ambalo Mimi nilikua ndani ya guest hiyo alitoka pekee now nipo home hivi nilianzishe au ninyamaze

Lianzishe acha kulea mwizi jombaaa!
 
Ukichepuka wewe poa akichepuja yeye ndio tatizo mmhh. Wewe kweli mpumbavu na lofa kabisa.
 
Na wrwe ci ulikuwa na mke wa yule jamaa aliyekuwa naye? Walijua mpo pale ndio wakawa wanasepa kusevu soo kumbe uliona??? Aisee mechi droo. Siku ingine msitoe draw tunataka mwisho wa mwaka mmoja wenu aibuke mshindi achukue golden ball. Nyambaf..........
 
Wewe ulikuwa gesti je kama na yeye alikuona? Anashindwa aanzaje kukuuliza
 
Hiyo GUEST HOUSE nadhani ipo uswazi sana yani hadi mtu anaweza pitia dirishani!? Anyway usilianzishe kwa kuwa nyote mmechepuka hata kama mwenzaka hakukuona.
 
Teh Teh Teh Teh Teh watu wengine mnachekesha jamani khaaaaa we mwenyew ulikua gest na mchepuko alaf unataka kulianzisha nin sasa
 
Ukichepuka wewe poa akichepuja yeye ndio tatizo mmhh. Wewe kweli mpumbavu na lofa kabisa.

mira ya kwetu umalaya no urijali ndio maana babu alioa wake 9
 
kwa Mira zetu mwanaume akiwa Malaya ni urijali mwanamke akiwa Malaya ni uhuni
 
mira ya kwetu umalaya no urijali ndio maana babu alioa wake 9

Na mila ya mkeo ikoje? Babu kaowa wewe ulikwenda kuchepuka. Hapo naona mkeo na yeye kenda kufanya mazowezi ugenini lakini mechi ipo ndani leo. Jitayarishe na game kali
 
Umechepukwa ha ha !
najiuliza ukubwa wa dirisha sipati picha!
 
Na ww huko guest ulikuwa unafanyaje au ndo madai yako unachungulia dirishanii
 
Back
Top Bottom