Nimemfa mke wangu akitoka guest

Nimemfa mke wangu akitoka guest

Nakushauri mkuuu vaa miwani tu hauta mwona kwa macho yako mawili kabisa maana huwezi kumfukuza nyani shambani ukamuacha tumbili.
 
Alikuja guest kukufuatilia, sasa hivi anakusoma tu! Kama vipi mkague uone kama aliloanishwa na kujiloaniaha vya kutosha!
Ukiona manyoya .........!
 
Piga kimyaaaaaaaa....kuchapiwa ni siri ya ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Kafata kitu ambacho wewe huwezi mpatia kaka....jirudi kimapenzi....
 
Kweli ni maskhara, lakini kwanini tunapoteza muda wetu? Unasoma jibu la kwanza na hutaki kuondoka unaendelea na lapili, latatu, etc....majibu are so sweet, unabakia kucheka tu!
Watanzania kweli sisi ni watu waajabu sana!
Mzee mwenzangu katu-lubuva na bado tunacheka tu!

Si basi tu mradi tunapass time
 
Atakuwa si yeye, madirisha ya hiyo guest yana vumbi sana ungemchekia kwa mlango.
 
Hiv munatoa wap ujasiri wa kuja kuandika mambo yenu ya ndoa humu jf? Unakuta mtu anamfumania mtu wake huko alafu anakuja kuomba ushauri humu wakati siri anayo yemwenyewe na maumivu anayapata yeye mwenyewe alafu utake ushauri wa kazi gani?!!! Fukuza tu sina akili nyingine kwa mtu ninamfumania zaidi ya hii
 
Kwa macho yangu mawili bila miwani nimemshuudia mke wangu akitoka guest house, kupitia dirisha la guest ambalo Mimi nilikua ndani ya guest hiyo alitoka pekee now nipo home hivi nilianzishe au ninyamaze.
Huna akili bro
 
Back
Top Bottom