Nimemfuma mke wangu akiiba nyama jikoni

mh hakuwa na sababu za kudokoa alikuwa anakula kwani kuna ubaya gani...acha roho mbaya kijana mbona hilo ni jambo la kwaida sana...kwani wewe haijawahi kukukuta hamu ya kula kitu kilichopo jikoni baada ya kuhisi harufu nzuri ya chakula?
 
Mkeo usimwaibishe yeye ndio mpishi , mpishi atashindweje kuonja kama anapika, hata kama akila kuna shida gani ,mimi sijaipenda lugha yako, umpende mkeo ndugu
 
hivi siku hizi hakuna wafundaji wa ndoa? mwanaume mzima anaweza vp kuleta uzi kama huu kwa wanaume wenzake?
 
Mi nilifikili umemfuma akimg,unya nyama ya kichupi kumbe ya bucha!
 
Mkeo usimwaibishe yeye ndio mpishi , mpishi atashindweje kuonja kama anapika, hata kama akila kuna shida gani ,mimi sijaipenda lugha yako, umpende mkeo ndugu
Ukitaka asidokoe nunua nyama nyingi kila siku mpe apike ale akinai wewe unanunua nusu kwa mwezi? Na kikawaida mwanamke mpe pesa yeye ndio aamue apike nini usimfuatefuate sana
 
Huna mke wewe, kama unae basi unaiaibisha jamii ya wanaume wenye wake.
 
Matatizo ya kula ugali na maharage ndio haya. Wanaume wa mikoani shidaaaa. Mbona sisi tunakula nao chipsi kuku mayai kila siku na wala hatu lalamiki.
 
Umekabidhi mboga kwa waifu ukaenda kuoga bafu la uani. Umetumia dakika chache tu kutoka unamkuta waifu amefutika nyama mdomoni. Hio mboga itakuwa hata imewiva japo kidogo kweli?
 
Mkuu mke kudokoa mboga tu unatoka povu hivyoo, na kwa siku hiyoo upo na umeshinda nyumbani umeona hivyoo, waache waonjee

Kwa halii hii lazima nipende ujingaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
exactly, yani inaonyesha hapo home nyama adimu sana kiasi kwamba vipande vya nyama jamaa anahesabu ole wake akute viko shotii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…