God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Leo wife kanikera mno.
Leo nimetoka zangu kwenye miangaiko nikasema ngoja ninunue kanusu kilo kakula na familia.
Mimi nikafika zangu nyumbani nikakabidhi mboga kwa wife nkamwambia andaa msiso.
Nikaenda zangu kuoga bafu ya nje nikatumia tuu dakika chache nikatoka ile namwangalia wife kama alikua anaficha kitu nikamwambia vipi sasa sijui alikua anabuguia na maskini akakabwa tena akaanza kupaliwa mwishowe akatema ile nyama.
Mimi sikupenda kumbana sana nisije kumuaibisha mbele ya watoto nikaamua anifate chumbani nikaammwambia kulikoni vipi.
Akaanza kuona ona aibu na et ooh ulinishtukia ghafla nikaoga mimi tuu nlikua naonja!
Sasa nikamwambia kama unaonja mbona ulikua na wasiwasi sasa hujiamini?
Nikaona nisizozane nae sana nkamwambia wewe ndio mama mwenye mji jiachie kwa raha zako na mimi ni mumeo basi akashukuru akaendelea kwenda kupika.
My take: Nyie wanawake nini kimewakumba? mbona mnakuwa waroho hivi wa nyama?
Acheni hii tabia kama kuna wengine wanaofanya humu mnawafunza wenenu udokozi.
Pia muwe na amani muwapo na wandani wenu bwana acheni kufanya mambo ya ajabu.
Leo nimetoka zangu kwenye miangaiko nikasema ngoja ninunue kanusu kilo kakula na familia.
Mimi nikafika zangu nyumbani nikakabidhi mboga kwa wife nkamwambia andaa msiso.
Nikaenda zangu kuoga bafu ya nje nikatumia tuu dakika chache nikatoka ile namwangalia wife kama alikua anaficha kitu nikamwambia vipi sasa sijui alikua anabuguia na maskini akakabwa tena akaanza kupaliwa mwishowe akatema ile nyama.
Mimi sikupenda kumbana sana nisije kumuaibisha mbele ya watoto nikaamua anifate chumbani nikaammwambia kulikoni vipi.
Akaanza kuona ona aibu na et ooh ulinishtukia ghafla nikaoga mimi tuu nlikua naonja!
Sasa nikamwambia kama unaonja mbona ulikua na wasiwasi sasa hujiamini?
Nikaona nisizozane nae sana nkamwambia wewe ndio mama mwenye mji jiachie kwa raha zako na mimi ni mumeo basi akashukuru akaendelea kwenda kupika.
My take: Nyie wanawake nini kimewakumba? mbona mnakuwa waroho hivi wa nyama?
Acheni hii tabia kama kuna wengine wanaofanya humu mnawafunza wenenu udokozi.
Pia muwe na amani muwapo na wandani wenu bwana acheni kufanya mambo ya ajabu.