Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

Junior Lecturer

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
913
Reaction score
582
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Una haraka na ww ya kuingia ndani ila maana ya hayo maneno ni kuwa Mke anachepuka tena na michepuko miwili tena ni vijana wadogo kiumri kwenye stor kawaita vidumu viwili.
Wewe ni Ndoo ambayo anaona muda wowote ataiangusha ipasuke vipande vipande ila abaki na vidumu vyake viwili vinavyompa raha.
UMEKWISHA BRAZA
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Miti ikikua wagonjwa wapate kivuli waweze kuwateta manesi
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Imani imekuponza
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Mwenyekiti ambaye kura hazikutosha ?
 
Back
Top Bottom