Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

Uliyemfumania ndio yule uliyemuomba muende kujilockdown kwa siku 21?πŸ€”πŸ€”
 
FUKUZA WOTE WAKATIANE VIZURI KWA UHURU
Njo ni PM tuanze mapya baby maana na mie yamenitokea kama wewe
 
Unatokea Mwanza wewe?!
 
naona baharia kashtukiwa anyway hii tunaita ajali ya kimapenzi!
 

Yote Tisa...Kumi ivi mkuu ulifanikiwa kuji lockdown na mwanaume kipindi kile cha Corona kama ilivyokua nia yako??
 
Boy wako alikuja kwako..!!

Tatizo linaanzia pale unapodate na Boy..
My sister you are too old to date boys. It's time you start dating men, real Men.

Najua huu uzi ni chai, lakini acha kudate na wavulana, ni muda wakudate na wanaume sasa.
 
Tangawizi imekua Kali sana,af sukari umeeka kidogoo
 
Seems humpi mambo boy wako ndo maana umetufananisha wanaume na shetani.

Sasa tafuta malaika wakuoe
 
Ulikuwa unampa huduma inayotakiwa au ulikuwa unawahi kazini tu....asubuh angekuwa kapiga viwili nguvu za kwenda kwa mama mdogo angetoa wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…