Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,448
Reaction score
7,972
Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadaye niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadaye nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
 
Something is wrong somewhere, si kwamba natetea uovu, la hasha. Wanawake sometimes mnazingua tena sana. Unaweza kunyima bila sababu, au kutoa ili mradi tu kumridhisha Mme. Kha, umelala km gogo, ndo nini.. Tena umeona kabisa dalili wamezoeana ndani ya muda mfupi, ulitakiwa unajiongeza, MPE mzigo tena ufundi juu.. Huo muda wa kuchepuka atawaza SAA ngp. Opportunists watawatesa sana, endeleeni kuwa rigid.. na wanaume walivyo wa tamaa tamaa. Watachepuka sana tu
 
Ni huzuni,majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha,ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia,ni mtu wa makamo miaka 38,ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi,lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini,lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita,lakin bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia ,nikawakuta wanasex live ,nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma,nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndo nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo mungu ndo anajua.
😂😂😂 inaonekana mama mdogo yupo vizuri mnooo
 
Kumbe wewe mwenyewe hujatulia ule uzi ulioandika kwa unampenda jamaa hum JF na ukashindwa kusem aya unataka.kunambia kipnd huyo mpenzi wako hayup.ulikua unatok na jamaa wa a Jf hum.sio Sasa vyako hujisemi lakini vya mwezio vinakuum..eety unadhani yeye akipita hum if akikuta utumbo ulio andika ata kuchuliaje kafanya sahihi kabisa huy.jamaa
 
Ni huzuni,majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha,ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia,ni mtu wa makamo miaka 38,ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi,lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini,lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita,lakin bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia ,nikawakuta wanasex live ,nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma,nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndo nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo mungu ndo anajua.
Hauwezi jua alimtishia kumuua kijana wa watu hadi akakosa nguvu za kujitetea masikini ya mungu , ikambidi tu afuate huyo mama yako alichokuwa akitaka.

Ushauri wangu ni kuwa mtafute jamaa ikiwezekana muwahi hospitali akasaidiwe kisaikoloji maana , itakuwa hayupo sawa kwa jinsi alivyotishiwa.
 
Ni huzuni,majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha,ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia,ni mtu wa makamo miaka 38,ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi,lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini,lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita,lakin bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia ,nikawakuta wanasex live ,nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma,nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndo nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo mungu ndo anajua.
Walikuwa wanatumia style gani kunyandusns?? Bila picha au video Uzi haunogi. Kama ni kweli, umejitakia hiyo mama powle!!
 
Back
Top Bottom