Nimemgonga mke wa bro leo asubuhi

Safi sana,siku nyingine uwe unaenda kumsaidia
kaka yako kule dukani,Usipende kula msosi ambao
malipo yake ni SHIKAMOO.
Haya mwenye nyumba umemgonga hivi chai umekunywa kweli?
 
mkuu acha k2zngua.. lete ctor mpya ynye kchwa ch hbar hkohko
 
Inabidi JF mods wabadilishe njia za kuregister raia maana naona magreat thinkers wa sasaivi tofauti na wa miaka ya nyuma.
Naona hawatumii ubongo wa mbele ktk kufikiri
 
ahahaaa hiki kichwa cha habari.....kilinifanya nisome story .....kumbe daaaah umemgonga na baskel
 
Hivi....
Umekunywa beer ama viroba[emoji34]
 
Na utakufa tu, kwel mlivoitwa vilaza hamjakosewa yaani umefunga chuo ndo ukaona uandike uj.....
 
Kumbe bado kuna vilaz,a wamesalia vyuoni
 
kwa hiyo umemgonga shem umeona haitoshi ukaamua umgonge na baiskeli haya bhana
 
Huyu atakuwa Mwanafunzi Uchwara au kiiazi kama sio kilaza kwa mujibu wa Raia namba moja wa nchi hii Mkazi wa Magogoni.
 
Dah! Kweli jamii forum ina watu[emoji15]
 
Utakuwa Dodoma tarehe 23 Julai na VIR**A wenzio ili kuvuruga mkutano wa CCM? Kama ndio, poa, we'll meet there.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…