Nimemgonga mke wa bro leo asubuhi

Huu utoto sasa.
 
Hawa ndo wanaosomea ualimu...cjui hawa watoto wetu wataelewa
 
Asee mi kabla sijamalizia kusoma huu uzi nilikuwa nishaanza kutoka udenda[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
duuhh bora umewaokoa wenzako maana kuna mabroo wengine wangewazuuia madogo kuwatembele dar wangeisikilizia mikoani
 

Bange mnazonunua muwe mnahakikisha hazijachanganywa na " kinyesi " cha Mbuzi au Ng'ombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…