Nimemgonga mke wa bro leo asubuhi

Nimemgonga mke wa bro leo asubuhi

Niaje wazeiyaaah..
MKO Bwaxx....

Kesho lazima Ronaldo achukue ndoo ile kwan ni muhim kwenye mchakato wa ballon dor 2016 ambayo obvious kajamaa kanachukua (Messi tupa kuleee)

Anyway, hao walikua wadhamini wa habar za mchezo (sio zile za Sports HQ ya 93.7 FM)

Sasa issue iko hivi mazee :
Leo asubuhi nimemgonga mke wa bro wangu...

Nimefunga chuo nimekuja dar likizo kwa bro huku kibada kigamboni..
Ebanaee, leo jmosi bro huyooo kutafuta pesa, hana weekend wala ckukuu (ana ki frame pale kariakoo)

Mle ndan kuna ki baskeli nikakitoa nikawa napiga zoezi nacho...
Sasa ile namalizia round ya mwisho (ya nne) naingia hivi getini kumbe shem anatoka kwenda kumwaga taka taka....
EBANA Eee nikamkwarua na steringi ya baskeli kachubuka mkononi...
Hata hivo damu hazijatoka..

USHAURI :
Tuwe makin tunapo fanya mazoezi mazee.....

Tchaoooooo
Huu utoto sasa.
 
Hawa ndo wanaosomea ualimu...cjui hawa watoto wetu wataelewa
 
Asee mi kabla sijamalizia kusoma huu uzi nilikuwa nishaanza kutoka udenda[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Niaje wazeiyaaah..
MKO Bwaxx....

Kesho lazima Ronaldo achukue ndoo ile kwan ni muhim kwenye mchakato wa ballon dor 2016 ambayo obvious kajamaa kanachukua (Messi tupa kuleee)

Anyway, hao walikua wadhamini wa habar za mchezo (sio zile za Sports HQ ya 93.7 FM)

Sasa issue iko hivi mazee :
Leo asubuhi nimemgonga mke wa bro wangu...

Nimefunga chuo nimekuja dar likizo kwa bro huku kibada kigamboni..
Ebanaee, leo jmosi bro huyooo kutafuta pesa, hana weekend wala ckukuu (ana ki frame pale kariakoo)

Mle ndan kuna ki baskeli nikakitoa nikawa napiga zoezi nacho...
Sasa ile namalizia round ya mwisho (ya nne) naingia hivi getini kumbe shem anatoka kwenda kumwaga taka taka....
EBANA Eee nikamkwarua na steringi ya baskeli kachubuka mkononi...
Hata hivo damu hazijatoka..

USHAURI :
Tuwe makin tunapo fanya mazoezi mazee.....

Tchaoooooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
duuhh bora umewaokoa wenzako maana kuna mabroo wengine wangewazuuia madogo kuwatembele dar wangeisikilizia mikoani
 
Niaje wazeiyaaah..
MKO Bwaxx....

Kesho lazima Ronaldo achukue ndoo ile kwan ni muhim kwenye mchakato wa ballon dor 2016 ambayo obvious kajamaa kanachukua (Messi tupa kuleee)

Anyway, hao walikua wadhamini wa habar za mchezo (sio zile za Sports HQ ya 93.7 FM)

Sasa issue iko hivi mazee :
Leo asubuhi nimemgonga mke wa bro wangu...

Nimefunga chuo nimekuja dar likizo kwa bro huku kibada kigamboni..
Ebanaee, leo jmosi bro huyooo kutafuta pesa, hana weekend wala ckukuu (ana ki frame pale kariakoo)

Mle ndan kuna ki baskeli nikakitoa nikawa napiga zoezi nacho...
Sasa ile namalizia round ya mwisho (ya nne) naingia hivi getini kumbe shem anatoka kwenda kumwaga taka taka....
EBANA Eee nikamkwarua na steringi ya baskeli kachubuka mkononi...
Hata hivo damu hazijatoka..

USHAURI :
Tuwe makin tunapo fanya mazoezi mazee.....

Tchaoooooo

Bange mnazonunua muwe mnahakikisha hazijachanganywa na " kinyesi " cha Mbuzi au Ng'ombe.
 
Back
Top Bottom