Nimemis kufanya hesabu

Nimemis kufanya hesabu

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Kijana mmoja baada ya kumaliza masomo yake ngazi flani wakati akisubiria ajira ana amua kujiingiza katika kilimo cha mahindi na maharage,

Anakodi shamba lenye ukubwa wa
heka 3 =240,000/
kufukua kwa trekta=120,000/
mbegu mifuko 9=108,000/
mbolea kilo 75=105,000/
vibarua wa kukatia mahindi heka 3=75,000/
anapalilia heka 2 moja anatoa kibarua =25,000/
wakaja kantangeze anatumia dawa yenye thamani ya =18,000/
palizi ya pili anatoboa heka 1 mbili anatoa kibarua =60,000/

Bahati nzuri alichanganya maharage kweny mahindi muda wa kuvuna maharage unawadia,
Anapata njano goroli gunia 3 gharama za kuvuna kubeba na mifuko ya kuhifadhia =9,000/
muda wa kuvuna mahindi unawadia gharama za kuvuna heka 3 =60,000/
kubeba mpaka nymbani kwa mkokoteni wa kuvutwa na wanyama =20,000/
anapukuchua kwa kutumia mashine anafanikiwa gunia 36 jumla za mahindi, mwenye masine anmchaji gharama za huduma ya kupukuchua kila gunia =1,200x36=43,200/
gharama ya mifuko ya kuhifadhia 36x700=252,00/

Jumla ya gharama za kilimo ni
908,400/

Kwasababu mwenye shamba anataka tena kukodisha shamba lake hivo kijana hana budi kukodi tena shamba hilo ili kulima tena mwaka ujao,

Hivo wakati mahindi yakiwa hayajapanda bei gunia moja linauzwa =55,000/ anauza magunia matano ili alipie shamba lisichukuliwe na wengine anapata jumla ya 275,000/
anabaki na chenji ya 35,000/

MUNGU sio athumani muda wa masika una karibia mazao yanapanda bei
Gunia moja ya mahindi inanunuliwa kwa 65,000/
kijana anaamua apeleke mjini kwa kutumia gari za usafirishaji mazao akauze sokoni
anafikisha mjini anakuta bei ni 75,000/ gunia moja
anauza magunia 31 ya mahindi anapata kiasi cha pesa =2,325,000/
anauza gunia tatu za maharage gunia moja =160,000x3=480,000/

Kijana anakuwa na pesa jumla ya shiling 2,805,000/
anadaiwa nauli ya kila gunia kulifikisha mjini ni 4,000x34=136,000/
ushuru wa kusafirisha mazao kwa kila gunia ni 2,000x34=68,000/

Baada ya kulipa malipo yote aliyodaiwa anabaki na kiasi 2,601,000+35,000/=2,360,000/
kijana anataka kurudi tena shambani,

Nawasilisha, kwani nimekosea wapi hapo wadau mbona kilimo kinaonekana kinafaida tu😂😂
 
Kijana mmoja baada ya kumaliza masomo yake ngazi flani wakati akisubiria ajira ana amua kujiingiza katika kilimo cha mahindi na maharage,

Anakodi shamba lenye ukubwa wa
heka 3 =240,000/
kufukua kwa trekta=120,000/
mbegu mifuko 9=108,000/
mbolea kilo 75=105,000/
vibarua wa kukatia mahindi heka 3=75,000/
anapalilia heka 2 moja anatoa kibarua =25,000/
wakaja kantangeze anatumia dawa yenye thamani ya =18,000/
palizi ya pili anatoboa heka 1 mbili anatoa kibarua =60,000/

Bahati nzuri alichanganya maharage kweny mahindi muda wa kuvuna maharage unawadia,

Anapata njano goroli gunia 3 gharama za kuvuna kubeba na mifuko ya kuhifadhia =9,000/
muda wa kuvuna mahindi unawadia gharama za kuvuna heka 3 =60,000/
kubeba mpaka nymbani kwa mkokoteni wa kuvutwa na wanyama =20,000/
anapukuchua kwa kutumia mashine anafanikiwa gunia 36 jumla za mahindi, mwenye masine anmchaji gharama za huduma ya kupukuchua kila gunia =1,200x36=43,200/
gharama ya mifuko ya kuhifadhia 36x700=252,00/

Jumla ya gharama za kilimo ni
908,400/

Kwasababu mwenye shamba anataka tena kukodisha shamba lake hivo kijana hana budi kukodi tena shamba hilo ili kulima tena mwaka ujao,

Hivo wakati mahindi yakiwa hayajapanda bei gunia moja linauzwa =55,000/ anauza magunia matano ili alipie shamba lisichukuliwe na wengine anapata jumla ya 275,000/
anabaki na chenji ya 35,000/

MUNGU sio athumani muda wa masika una karibia mazao yanapanda bei

Gunia moja ya mahindi inanunuliwa kwa 65,000/
kijana anaamua apeleke mjini kwa kutumia gari za usafirishaji mazao akauze sokoni
anafikisha mjini anakuta bei ni 75,000/ gunia moja
anauza magunia 31 ya mahindi anapata kiasi cha pesa =2,325,000/
anauza gunia tatu za maharage gunia moja =160,000x3=480,000/

Kijana anakuwa na pesa jumla ya shiling 2,805,000/
anadaiwa nauli ya kila gunia kulifikisha mjini ni 4,000x34=136,000/
ushuru wa kusafirisha mazao kwa kila gunia ni 2,000x34=68,000/

Baada ya kulipa malipo yote aliyodaiwa anabaki na kiasi 2,601,000+35,000/=2,360,000/
kijana anataka kurudi tena shambani,

Nawasilisha, kwani nimekosea wapi hapo wadau mbona kilimo kinaonekana kinafaida tu😂😂
Kilimo hakitabiriki
 
Kijana mmoja baada ya kumaliza masomo yake ngazi flani wakati akisubiria ajira ana amua kujiingiza katika kilimo cha mahindi na maharage,

Anakodi shamba lenye ukubwa wa
heka 3 =240,000/
kufukua kwa trekta=120,000/
mbegu mifuko 9=108,000/
mbolea kilo 75=105,000/
vibarua wa kukatia mahindi heka 3=75,000/
anapalilia heka 2 moja anatoa kibarua =25,000/
wakaja kantangeze anatumia dawa yenye thamani ya =18,000/
palizi ya pili anatoboa heka 1 mbili anatoa kibarua =60,000/

Bahati nzuri alichanganya maharage kweny mahindi muda wa kuvuna maharage unawadia,
Anapata njano goroli gunia 3 gharama za kuvuna kubeba na mifuko ya kuhifadhia =9,000/
muda wa kuvuna mahindi unawadia gharama za kuvuna heka 3 =60,000/
kubeba mpaka nymbani kwa mkokoteni wa kuvutwa na wanyama =20,000/
anapukuchua kwa kutumia mashine anafanikiwa gunia 36 jumla za mahindi, mwenye masine anmchaji gharama za huduma ya kupukuchua kila gunia =1,200x36=43,200/
gharama ya mifuko ya kuhifadhia 36x700=252,00/

Jumla ya gharama za kilimo ni
908,400/

Kwasababu mwenye shamba anataka tena kukodisha shamba lake hivo kijana hana budi kukodi tena shamba hilo ili kulima tena mwaka ujao,

Hivo wakati mahindi yakiwa hayajapanda bei gunia moja linauzwa =55,000/ anauza magunia matano ili alipie shamba lisichukuliwe na wengine anapata jumla ya 275,000/
anabaki na chenji ya 35,000/

MUNGU sio athumani muda wa masika una karibia mazao yanapanda bei
Gunia moja ya mahindi inanunuliwa kwa 65,000/
kijana anaamua apeleke mjini kwa kutumia gari za usafirishaji mazao akauze sokoni
anafikisha mjini anakuta bei ni 75,000/ gunia moja
anauza magunia 31 ya mahindi anapata kiasi cha pesa =2,325,000/
anauza gunia tatu za maharage gunia moja =160,000x3=480,000/

Kijana anakuwa na pesa jumla ya shiling 2,805,000/
anadaiwa nauli ya kila gunia kulifikisha mjini ni 4,000x34=136,000/
ushuru wa kusafirisha mazao kwa kila gunia ni 2,000x34=68,000/

Baada ya kulipa malipo yote aliyodaiwa anabaki na kiasi 2,601,000+35,000/=2,360,000/
kijana anataka kurudi tena shambani,

Nawasilisha, kwani nimekosea wapi hapo wadau mbona kilimo kinaonekana kinafaida tu[emoji23][emoji23]
Mpwayungu village
 
Kijana mmoja baada ya kumaliza masomo yake ngazi flani wakati akisubiria ajira ana amua kujiingiza katika kilimo cha mahindi na maharage,

Anakodi shamba lenye ukubwa wa
heka 3 =240,000/
kufukua kwa trekta=120,000/
mbegu mifuko 9=108,000/
mbolea kilo 75=105,000/
vibarua wa kukatia mahindi heka 3=75,000/
anapalilia heka 2 moja anatoa kibarua =25,000/
wakaja kantangeze anatumia dawa yenye thamani ya =18,000/
palizi ya pili anatoboa heka 1 mbili anatoa kibarua =60,000/

Bahati nzuri alichanganya maharage kweny mahindi muda wa kuvuna maharage unawadia,
Anapata njano goroli gunia 3 gharama za kuvuna kubeba na mifuko ya kuhifadhia =9,000/
muda wa kuvuna mahindi unawadia gharama za kuvuna heka 3 =60,000/
kubeba mpaka nymbani kwa mkokoteni wa kuvutwa na wanyama =20,000/
anapukuchua kwa kutumia mashine anafanikiwa gunia 36 jumla za mahindi, mwenye masine anmchaji gharama za huduma ya kupukuchua kila gunia =1,200x36=43,200/
gharama ya mifuko ya kuhifadhia 36x700=252,00/

Jumla ya gharama za kilimo ni
908,400/

Kwasababu mwenye shamba anataka tena kukodisha shamba lake hivo kijana hana budi kukodi tena shamba hilo ili kulima tena mwaka ujao,

Hivo wakati mahindi yakiwa hayajapanda bei gunia moja linauzwa =55,000/ anauza magunia matano ili alipie shamba lisichukuliwe na wengine anapata jumla ya 275,000/
anabaki na chenji ya 35,000/

MUNGU sio athumani muda wa masika una karibia mazao yanapanda bei
Gunia moja ya mahindi inanunuliwa kwa 65,000/
kijana anaamua apeleke mjini kwa kutumia gari za usafirishaji mazao akauze sokoni
anafikisha mjini anakuta bei ni 75,000/ gunia moja
anauza magunia 31 ya mahindi anapata kiasi cha pesa =2,325,000/
anauza gunia tatu za maharage gunia moja =160,000x3=480,000/

Kijana anakuwa na pesa jumla ya shiling 2,805,000/
anadaiwa nauli ya kila gunia kulifikisha mjini ni 4,000x34=136,000/
ushuru wa kusafirisha mazao kwa kila gunia ni 2,000x34=68,000/

Baada ya kulipa malipo yote aliyodaiwa anabaki na kiasi 2,601,000+35,000/=2,360,000/
kijana anataka kurudi tena shambani,

Nawasilisha, kwani nimekosea wapi hapo wadau mbona kilimo kinaonekana kinafaida tu[emoji23][emoji23]
Ulipokosea ni kwamba mwaka mzima hujala, hujasaidia ndugu wa muhimu, hujavaa na bahati nzuri hujaumwa.
 
Back
Top Bottom