Vijana wakianza kulala na tudemu ghetto basi wanaona wameoaWe huna mwandani wala mwanje.Mjusi mkubwa wewe.
🤣🤣🤣kila watu na aina ya mapenzi yao, mi nilikua napenda tukibishana ila ni kwasababu hakua muongeaji, sasa wewe sababu ni ipi? au ndo fantasy yako?