sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Mwandani wangu yuko mbali, moja ya kitu nimekumbuka ni kugombana na kubishana. Nawaza nimtafutie chanzo tugombane hata kwa simu kisha baada ya siku 3 nimbembeleze yaishe.
Nimpigie simu usiku kalala kisha asubuhi nikiwashe kwanini hajapokea simu.
Ni hayo tu.
Nimpigie simu usiku kalala kisha asubuhi nikiwashe kwanini hajapokea simu.
Ni hayo tu.