Nimemisi kugombana na mwandani wangu

Kitaalamu zinaitwa nyege! Fanya mchakato mkachakatane
 
Kwani kuoa ni kufanyaje? Sio kulala na dem ghetto?
Aiseeeh,kwahiyo muheshimiwa ukilala na demu ghetto ndio tayari umeoa?🤣🤣

Bhas kuna vijana wanamiliki wanawake(wameoa) wengi sanaaa
 
Naomba kukusaidia kama ni wakike huyo mwandani nipee namba yake
 
we mwambie ikifika usiku akupigie simu akapiga sasa wewe kata simu alafu mtumie meseji ( AMELALA) alafu zima simu lala..

utakuja kunishkukuru baadae
 
Utabondwa Hilo bichwa hadi uote mapunye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…