Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuoa ni kufanyaje? Sio kulala na dem ghetto?Vijana wakianza kulala na tudemu ghetto basi wanaona wameoa
Aiseeeh,kwahiyo muheshimiwa ukilala na demu ghetto ndio tayari umeoa?🤣🤣Kwani kuoa ni kufanyaje? Sio kulala na dem ghetto?
Ukilala na dem gheto zaidi ya miezi mi3 ni mkeo, hata sheria inatambua hiliAiseeeh,kwahiyo muheshimiwa ukilala na demu ghetto ndio tayari umeoa?🤣🤣
Bhas kuna vijana wanamiliki wanawake(wameoa) wengi sanaaa
🤣🤣🤣We huna mwandani wala mwanje.Mjusi mkubwa wewe.
Na Cheti cha ndoa unapata kabisa?Ukilala na dem gheto zaidi ya miezi mi3 ni mkeo, hata sheria inatambua hili
Wewe kuitwa mwanaume ulipewa cheti?Na Cheti cha ndoa unapata kabisa?
Kwani mleta mada ni ME au KE?Sidhani kama jamaa yetu anajua kama anadate na tahira!
Sina uhakika kama mleta mada ni ME au ni KE, ila nina uhakika mleta mada ni tahira!Kwani mleta mada ni ME au KE?
Naomba kukusaidia kama ni wakike huyo mwandani nipee namba yakeMwandani wangu yuko mbali, moja ya kitu nimekumbuka ni kugombana na kubishana. Nawaza nimtafutie chanzo tugombane hata kwa simu kisha baada ya siku 3 nimbembeleze yaishe.
Nimpigie simu usiku kalala kisha asubuhi nikiwashe kwanini hajapokea simu.
Ni hayo tu.
we mwambie ikifika usiku akupigie simu akapiga sasa wewe kata simu alafu mtumie meseji ( AMELALA) alafu zima simu lala..Mwandani wangu yuko mbali, moja ya kitu nimekumbuka ni kugombana na kubishana. Nawaza nimtafutie chanzo tugombane hata kwa simu kisha baada ya siku 3 nimbembeleze yaishe.
Nimpigie simu usiku kalala kisha asubuhi nikiwashe kwanini hajapokea simu.
Ni hayo tu.
Utabondwa Hilo bichwa hadi uote mapunyeMwandani wangu yuko mbali, moja ya kitu nimekumbuka ni kugombana na kubishana. Nawaza nimtafutie chanzo tugombane hata kwa simu kisha baada ya siku 3 nimbembeleze yaishe.
Nimpigie simu usiku kalala kisha asubuhi nikiwashe kwanini hajapokea simu.
Ni hayo tu.