Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #201
Rivola ni niniTabuzote zanini siutumie rivola
Well, kila mtu na jinsi anavyoendesha maisha yake ya mapenzi. Nianze tu kubebishana wakati natakiwa niongee na wife issues za muhimu, tukimaliza ku-chat kichwa kinauma coz mambo ni mengi pesa hazijai wallet[emoji16] we mzee mwenzangu mambo yako mazuri bado mnabebishana kila mara...iwe 15+ mkiacha kubebishana hata kwa wiki mara 2 ujue maji yatatafuta mkondo wa kupita.
Wee jamaa khaa!!! MbinafsiWell, kila mtu na jinsi anavyoendesha maisha yake ya mapenzi. Nianze tu kubebishana wakati natakiwa niongee na wife issues za muhimu, tukimaliza ku-chat kichwa kinauma coz mambo ni mengi pesa hazijai wallet[emoji16] we mzee mwenzangu mambo yako mazuri bado mnabebishana kila mara...
Sio ubinafsi, ni reality ya maisha tu. Utabebishana wakati bills kibao zinakusubiri? Hapa naona kwa nini wanawake wanaishi maisha marefu zaidi yetu..Wee jamaa khaa!!! Mbinafsi
Usisingizie bills bana that's not fair, kwahiyo usimpomtxt ndo bills zinapungua hahahaSio ubinafsi, ni reality ya maisha tu. Utabebishana wakati bills kibao zinakusubiri? Hapa naona kwa nini wanawake wanaishi maisha marefu zaidi yetu..
ndiwoooo[emoji8][emoji8][emoji8][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiiwoooo....wewe ni mfalme mswati wa ii[emoji23]
Wewe huoni jamaa kapunguza kubebishana? Unadhani sababu hasa ni nini?Usisingizie bills bana that's not fair, kwahiyo usimpomtxt ndo bills zinapungua hahaha
Ni kweli majukumu naelewa, hata mie najua nimepunguza vingi tu ila tusiifanye ndio sababu sasa ya kuacha kupendana kushow makopa kopaWewe huoni jamaa kapunguza kubebishana? Unadhani sababu hasa ni nini?
Mfyuuu😂😂😂hao masuria bikira katafute mwenyewe mfalmendiwoooo[emoji8][emoji8][emoji8][emoji23][emoji23][emoji23]
nileteeni warembo wote na mabikira nami ntawafurahisha[emoji28]
Imagine wewe kabla ya kupata mtoto na baada ya(hopefully unae tayari). Huoni kama ule upendo wako kwa jamaa umeugawa mara mbili saivi? Be honest!!Ni kweli majukumu naelewa, hata mie najua nimepunguza vingi tu ila tusiifanye ndio sababu sasa ya kuacha kupendana kushow makopa kopa
Have two kids, I love them lakini haijanifanya nipunguze kumpenda baba yao nampenda mno kama zamani tu teh ndo maana bado natamani tuwe na makopa kopa yetu japo najua majukumu tu yanamtinga hny wanguImagine wewe kabla ya kupata mtoto na baada ya(hopefully unae tayari). Huoni kama ule upendo wako kwa jamaa umeugawa mara mbili saivi? Be honest!!
Mekumiss dear...Hahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...[emoji23][emoji23]
Funguka zaid mkuuNdoa ni kifungo kibaya sana..kila mtu ataubaini huu ukweli kwa wakati wake..
Ooh..kipenzi naendelea unono siku ya leo..😊😊Mekumiss dear...
Vp waendeleaje na weekend mpenzi wangu.
Nakupenda dear, wewe ndo kilakitu kwangu.
Hongera (two kids) lakini huenda kwa sababu ya majukumu, humpi tamu kama kipindi cha mwanzo(kabla hamjawa na watoto)Have two kids, I love them lakini haijanifanya nipunguze kumpenda baba yao nampenda mno kama zamani tu teh ndo maana bado natamani tuwe na makopa kopa yetu japo najua majukumu tu yanamtinga hny wangu
Angalizo tu usiogopeshwe, ndoa hazifanani kama ambavyo watu hatufananiFunguka zaid mkuu
I reserve my comment.....lolHongera (two kids) lakini huenda kwa sababu ya majukumu, humpi tamu kama kipindi cha mwanzo(kabla hamjawa na watoto)
waliotumika pia sio mbaya sababu nami ni used[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfyuuu[emoji23][emoji23][emoji23]hao masuria bikira katafute mwenyewe mfalme
..sema bwana, tunajifunza ujuwe!!I reserve my comment.....lol