hehemnyalu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 703
- 691
Kuleee PM
D jomonii em niambie nikuje wapi??![emoji39][emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
D jomonii em niambie nikuje wapi??![emoji39][emoji39]
Hiyo kwakweli ni too muchmzee mwenzangu hiyo sio ndoa bali gereza...mnapoamka asubuhi mwingine anapelekwa kupasua kuni zipikie wafungwa na mwingine anapangiwa shambani
A million dollars question, cha ajabu utaona mithread yao hapa mwanaume afanyiwe hivi afanyiwe vile lots of bla bla, ila wao ni majukumu....teh (jibu nnalo)
umeongea mambo mazito sana honey, haya nitayafanyia kazi kumwa update mdogo ako, leo hata amini kwa mahaba nitayomwonyesha japo ni ya mbali, nitaitumia simu yangu vyema kunye..ge..sh..a[emoji8]
Hahaha si bora high school anatafuta kitu cha tofauti, wengine mmama mwenye four kids kutoka vijijini huko mambo ni mengi.Halafu walivyo wasengerema unakuta mtu huyo huyo mwenye majukumu and blah blah.. anabebisha mtoto wa high school
Men we need some love at some points..
hilo neno "nakupenda" huwa linaponda mifupa kabisa, uko sahihi nitayafufua kwa moto wa ubatizo[emoji8]Utashangaa utakavyoyafufua mahaba..
Wanawake tunaenda na beat most of the time
Kuna siku ikaingia txt nakupenda sana mke wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Was like leo kachepukia wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Was excited and the day turned to a beautiful day like when was young and loved
Unachosema ni sawa kabisa, kinachojenga kwako kinaweza kuwa sumu kwangu. Ndio maana hata mtu akikushauri mambo ya chumbani unatakiwa kuwa makini sana...Ooh kumbe matatizo yanatofautiana sana ndio maana huwa siamini katika ushauri wa ndoa, naamini kile mmachoamini Mimi..
Make utakuta kinachojenga kwangu kwako wewe kinabomoa, kinachojenga kwako kwangu ni Bomu.
Kila ndoa ina namna yake ya kuendesha mzee mwenzangu. Hizi ndoa zetu changa ndio utakuta watu hawajachokana, wanaweza kushinda waki-chat siku nzima. Uliza walioishi 10+yrs, ni wachache sana wana-keep in touch wakiachana asubuhi, wengi ni kuhusu issues tu (bills, projects nk), wachache sana wanabebishana.mzee mwenzangu hiyo sio ndoa bali gereza...mnapoamka asubuhi mwingine anapelekwa kupasua kuni zipikie wafungwa na mwingine anapangiwa shambani
iwe 15+ mkiacha kubebishana hata kwa wiki mara 2 ujue maji yatatafuta mkondo wa kupita.Kila ndoa ina namna yake ya kuendesha mzee mwenzangu. Hizi ndoa zetu changa ndio utakuta watu hawajachokana, wanaweza kushinda waki-chat siku nzima. Uliza walioishi 10+yrs, ni wachache sana wana-keep in touch wakiachana asubuhi, wengi ni kuhusu issues tu (bills, projects nk), wachache sana wanabebishana.
Hahaha si bora high school anatafuta kitu cha tofauti, wengine mmama mwenye four kids kutoka vijijini huko mambo ni mengi.
Haya majukumu haya koh koh
Wanawake wembamba tunaonewa sana jamani, khaaa kwhy wanene huwa sio wasumbufu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanawake wembamba wasumbufu nyie... baba nanii anakwama wapi lakini
Sina bwana wala mmeMwambie bwanako/mmeo akutongoze upya.
Heheh....poleSina bwana wala mme
Hivyo vyote ulivotaja naweza, na hua namfanyiaga dada yako, Sema tu sasa we ni Shemeji yangu ndo mtihani waanzia hapo. Sijui hata nakusaidiaje yaani. Labda nikikutana na Bro nimuelezee tuone inakuaje.Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Aiiii shemejiHivyo vyote ulivotaja naweza, na hua namfanyiaga dada yako, Sema tu sasa we ni Shemeji yangu ndo mtihani waanzia hapo. Sijui hata nakusaidiaje yaani. Labda nikikutana na Bro nimuelezee tuone inakuaje.
Ahsante nshapoaHeheh....pole
Kwanini usimwambie baba nanii haya maneno yote., Mahusiano mazuri ni communication tu between mume na mkeUshawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Nakuona bwana mkunaji limekupata pele 😄 😄Kwanini usimwambie baba nanii haya maneno yote., Mahusiano mazuri ni communication tu between mume na mke
Kama akigoma kufanya hayo.,
"Send me your location
Let's focus on communicatin' 'cause
I just need the time and place to come through,
Send me your location
Let's ride the vibrations
I don't need nothin' else but you" [emoji23]
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.