Nimemiss kupendwa....

Nimemiss kupendwa....

Aisee me nadhani hizo level zikipita huwa hazirudi tena maana face ya msichana ikishaanza kukomaa inakuwa no longer a baby.. sasa mtu mzima habembelezwi.... pole sana Hawachumvi
[emoji16][emoji16][emoji16] ukaamua umuite kwa kiswahili kabisa Hawa chumvi
 
Hahahahh..! Watu msio na uwezo wa kutawala mioyo yenu mnapata taabu sana hapa duniani.
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.

Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.

leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
 
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Jaman we mama nanii... Kuna mwenzako muda huu apewe hz sifa hata ya kuitwa tu mama nanii hapati maana baby kaitwa hadi anaona aibu kuitika. We unadhani maprofesa hawajahi kuwa Ly std 7? Kubaliana na majukumu. Ila baba nanii nae kazidi bhana hata kama yupo bze siku moja moja akubabishe basi.!
 
I wish i could turn back those days.
Such is life, lazima kuwe na phases katika life. Now you're grown up, take charge your life and dependants, ni mwendo wa kulipa bills, kusomesha, kujenga etc. Ukipata chance ya kubebishwa once in a while shukuru ili maisha yaendelee.

Wanasema life begins at 40 ila kwa Afrika kama haupo makini unaweza kufika hiyo 40 na hujafanya chochote tangible katika maisha.
 
Kiukweli hata na mimi nimemiss kupenda. Ile feeling niliyokuwa nayo kitambo hicho yaani mtu usipomuona siku tatu moyo hautulii ni kama kiu flani hivi [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].. Siku hizi hiyo relationship ninayo zaidi na pesa maana hakuna dollar yenye drama wala mapenzi ya uongo
Kweli majukumu yapo ila sasa jameni ndio yastopishe maisha? Sio fair
 
Hahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...[emoji23][emoji23]

Hahaaaa mie mwenyewe hiyo sms sijui niliiona mwaka gan jamani khaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiona hivyo ujue familia imekuwa majukumu yameongezeka ule muda wa kupetiwa petiwa umegawanyika ktk majukumu mengine, kwa watoto wenu wapendwa, na kwa wakwe, acha kukariri maisha na kutamani mombo ya wakati ukiwa kigori na leo ni mama wa watoto watatu.
Kila jambo ktk familia na maisha ya mwanadamu lina muda na ukomo wake, kubaliana na hali na mabadiliko ktk mwili wako na hasa maisha ya familia. Waza kuijenga familia ili uwe msaada kwa baba watoto badala ya kikwazo, hata yeye hakuwa na mrembo mmoja wakati huo na hata sasa hapendi ila amekubaliana na mabadiliko kwa afya ya familia.

Kwani ukimtumia mkeo tx "nakupenda"
Majukumu yanabadilika?
 
Such is life, lazima kuwe na phases katika life. Now you're grown up, take charge your life and dependants, ni mwendo wa kulipa bills, kusomesha, kujenga etc. Ukipata chance ya kubebishwa once in a while shukuru ili maisha yaendelee.

Wanasema life begins at 40 ila kwa Afrika kama haupo makini unaweza kufika hiyo 40 na hujafanya chochote tangible katika maisha.
Hornet anauliza ukimtext mkeo "nakupenda" majukumu yako yanasimama?
Kama nawaona ujenzi utakavosimama
 
Back
Top Bottom