Nimemiss kupendwa....

Nimemiss kupendwa....

I can feel you mdada.. Ila ndio tupo Tz na Tz ndo tulivyo. Kupitia huu uzi ndio nimejua kwa nini waume wapo busy na chepo na wake wanakuja kasi katika viben ten .
Afu tunamtafuta mchawi hahahaa
 
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.

Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.

leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
umeongea mambo mazito sana honey, haya nitayafanyia kazi kumwa update mdogo ako, leo hata amini kwa mahaba nitayomwonyesha japo ni ya mbali, nitaitumia simu yangu vyema kunye..ge..sh..a[emoji8]
 
Unataka mafunzo ya nini tena
 
Inategemea sana na huyo unayemwambia nakupenda. Unaweza kuandika nakupenda na siku yako ikazidi kuharibiwa...

Wakati mwingine ni heri mnapoagana asubuhi mkutane usiku ili tu kupunguza matatizo.
Ooh kumbe matatizo yanatofautiana sana ndio maana huwa siamini katika ushauri wa ndoa, naamini kile mmachoamini Mimi..
Make utakuta kinachojenga kwangu kwako wewe kinabomoa, kinachojenga kwako kwangu ni Bomu.
 
Inategemea sana na huyo unayemwambia nakupenda. Unaweza kuandika nakupenda na siku yako ikazidi kuharibiwa...

Wakati mwingine ni heri mnapoagana asubuhi mkutane usiku ili tu kupunguza matatizo.
mzee mwenzangu hiyo sio ndoa bali gereza...mnapoamka asubuhi mwingine anapelekwa kupasua kuni zipikie wafungwa na mwingine anapangiwa shambani
 
Ngoja shunie aje akufundishe
 
Ndoa ni kifungo kibaya sana..kila mtu ataubaini huu ukweli kwa wakati wake..
I Agree to disagree......Marriage is a Gift from God mzee inadepend uyo uliekutana nae yupo vip na yupo na ww kwa lengo gani lakini pia mlipenda wakt gan usikute mlipendana kwa MIZUKA tu#NDOA TAMU wewe asikwambie mtu.

Treat your partner(wife or husband) as your true friend utaenjoy sana
 
Back
Top Bottom