Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
I miss you. Ebu mwambie eve aje anirushie ilo wowowo
Hahahha eti kurusha wowowo huku na kule na mama nanii bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahha eti kurusha wowowo huku na kule na mama nanii bwana
Miss u too Antonio upoooI miss you. Ebu mwambie eve aje anirushie ilo wowowo
Nipo shunie na vp za kuadimika mdada mzuri? Mwambie aje basi nilichapechape ilo wowowo tuvibaoMiss u too Antonio upooo
Hahaha Eve njo umrushie wowowo Antonio huku
I can feel you mdada.. Ila ndio tupo Tz na Tz ndo tulivyo. Kupitia huu uzi ndio nimejua kwa nini waume wapo busy na chepo na wake wanakuja kasi katika viben ten .Kweli majukumu yapo ila sasa jameni ndio yastopishe maisha? Sio fair
Afu tunamtafuta mchawi hahahaaI can feel you mdada.. Ila ndio tupo Tz na Tz ndo tulivyo. Kupitia huu uzi ndio nimejua kwa nini waume wapo busy na chepo na wake wanakuja kasi katika viben ten .
Sijapata mafunzo bado, naona makungwi wamenigomeaMiss u too Antonio upooo
Hahaha Eve njo umrushie wowowo Antonio huku
Hahahahha sasa Eve unataka mafunzo ya nnNipo shunie na vp za kuadimika mdada mzuri? Mwambie aje basi nilichapechape ilo wowowo tuvibao
Sijapata mafunzo bado, naona makungwi wamenigomea
Yale ya "I love you crazy" mmh hayo yapo level ya juu sana nikipewa hayo moyo utaenda mbio, presha itapanda nitakufa...nataka haya ya level za kawaidaUnataka ufanyiwe maloveeee kama ya yule aliefariki
Sijapata mafunzo bado, naona makungwi wamenigomea
Binamu nakutafuta baade mida ya popoBinamu nitafute....
Fanya mchakato bas shunieHahhahaa za kuadimika nzuri sana Antonio Hahahahha sasa Eve unataka mafunzo ya nn
umeongea mambo mazito sana honey, haya nitayafanyia kazi kumwa update mdogo ako, leo hata amini kwa mahaba nitayomwonyesha japo ni ya mbali, nitaitumia simu yangu vyema kunye..ge..sh..a[emoji8]Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Nshakutag kwenye mafunzo do the needfulHahahahha sasa Eve unataka mafunzo ya nn
Inategemea sana na huyo unayemwambia nakupenda. Unaweza kuandika nakupenda na siku yako ikazidi kuharibiwa...Hornet anauliza ukimtext mkeo "nakupenda" majukumu yako yanasimama?
Kama nawaona ujenzi utakavosimama
Unataka mafunzo ya nini tena
kuja huku basi?Hahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...[emoji23][emoji23]
Ooh kumbe matatizo yanatofautiana sana ndio maana huwa siamini katika ushauri wa ndoa, naamini kile mmachoamini Mimi..Inategemea sana na huyo unayemwambia nakupenda. Unaweza kuandika nakupenda na siku yako ikazidi kuharibiwa...
Wakati mwingine ni heri mnapoagana asubuhi mkutane usiku ili tu kupunguza matatizo.
mzee mwenzangu hiyo sio ndoa bali gereza...mnapoamka asubuhi mwingine anapelekwa kupasua kuni zipikie wafungwa na mwingine anapangiwa shambaniInategemea sana na huyo unayemwambia nakupenda. Unaweza kuandika nakupenda na siku yako ikazidi kuharibiwa...
Wakati mwingine ni heri mnapoagana asubuhi mkutane usiku ili tu kupunguza matatizo.
![]()
Naomba kufundishwa haya mambo.
Nipo serious kabisa, haya mambo nayapenda kutoka moyoni natamani kujifunza na kuweza kufanya hivi. Kwa anaejua tafadhali nahitaji mafunzo kwa vitendo, kama kuna malipo nitalipia, kwa alie serious please tuwasiliane pm....kinadada/kina mama wa tanga, pwani pwani wazaramo tafadhali nawaomba...www.jamiiforums.com
I Agree to disagree......Marriage is a Gift from God mzee inadepend uyo uliekutana nae yupo vip na yupo na ww kwa lengo gani lakini pia mlipenda wakt gan usikute mlipendana kwa MIZUKA tu#NDOA TAMU wewe asikwambie mtu.Ndoa ni kifungo kibaya sana..kila mtu ataubaini huu ukweli kwa wakati wake..