Muda umeshatamatika mama ,usishindane nao maana ukishindana nao utachepuka
Jipost kwenye mtandao uone utakavyopendwa fasta.............
Labda kibungoJipost kwenye mtandao uone utakavyopendwa fasta
Kwanini unapenda kufukua makaburi?Eeeh
Ni raha ujue shem 🤣🤣Kwanini unapenda kufukua makaburi?
Bro mbona matusi sijakuzoea hiviSimu umenunua wewe pamoja na hili bundle humu? Usiongee kama hufirwi wewe
NaamTatizo kuu la wanawake wa kibongo wanapenda kulipiwa bills!
Wakiwapata walipa bills wanatafta wapenzi wapya maana mtoa pesa anakuwa bidii yake imeishia kwenye kulipa bills Mapenzi sio sana! Akifumaniwa anaachwa anaanza upya kutafta mlipa bills mwengine and the cycle continues!
Nipo hapa.. nikupe moyo.............
Sitaki moyo bro nataka mixx by yasNipo hapa.. nikupe moyo
mixx by Yas imeisha hiyo love, sema nini tena wataka mama.. 😊😊Sitaki moyo bro nataka mixx by yas
Hii Kauli niliambiwaga na Ex after 12yrs ya kutengana. Sikua na msaada.............
Njoo uukalie.............
Upigwe upepo sehemu gani sasa!
Hebu dadavua kidogo, na huo upepo ni upepo gani maana kuna pepo nying zikiwemo za kumpampu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 TBC1 "Ukweli na uhakika"Sitaki moyo bro nataka mixx by yas