Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
AiseeMabaharia tukijiongeza kuwatafuna tunaonekana hatuna adabu😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeMabaharia tukijiongeza kuwatafuna tunaonekana hatuna adabu😀
PM ipo wazi au nitume hapa hapa[emoji41]Hahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...[emoji23][emoji23]
Kwani nasema uongo ndugu zangu😅Aisee
Tatizo kuu la wanawake wa kibongo wanapenda kulipiwa bills!Yale ya "I love you crazy" mmh hayo yapo level ya juu sana nikipewa hayo moyo utaenda mbio, presha itapanda nitakufa...nataka haya ya level za kawaida
Nashangaa unaposema upo kwenye ubahariaKwani nasema uongo ndugu zangu😅
UongoTatizo kuu la wanawake wa kibongo wanapenda kulipiwa bills!
Wakiwapata walipa bills wanatafta wapenzi wapya maana mtoa pesa anakuwa bidii yake imeishia kwenye kulipa bills Mapenzi sio sana! Akifumaniwa anaachwa anaanza upya kutafta mlipa bills mwengine and the cycle continues!
Hahahahahah😂 mie dam inachemka bado wabibi ndio inabidi mukae chonjoNashangaa unaposema upo kwenye ubaharia
Utabisha ila huu ndio ukweli yani!Uongo
AppreciateHahahahahah😂 mie dam inachemka bado wabibi ndio inabidi mukae chonjo
Wanaotafuta mapenzi kwenye uhusiano huwa wanabebishwaga tu always huwezi kuta wanalalamika 😂Uongo
Sawa mkuuUtabisha ila huu ndio ukweli yani!
Eti labda paume tu😂 (hii comment nimeipiga lamination) kuanzia sasa ukiskia labda paume tu ujue ndio tagline yako😅Mi sikinai labda paume ndo nipapumzishe
Na mie mtu asiependa sex hatuendani teh (hivi Elli unaniuliza nini lakini teh)
So kumbe umeolewa na ur first date?Nimeitwa nitoe ushauri, nimejikuta na miss na mimi.
Evelyn Salt... Daby
Hivi do men really understand that we miss the cuddling, the date nights, the spontaneous sex..... the out of the norm sex... the banging and the smacking typa sex.....😃😃😃😃😃
I miss being in love... so deep so silly in love. Na hasa kwa sisi tuliochelewa kuanza mahusiano kisa high standards na principles.... matokeo yake we got married to the only people we have dated.
Sasa unajikuta unajiuliza what ifs kibao.🤔🤔Audhubillah.😉😉
Jf inahitaji akili kubwa kama hiziNdoa ni kifungo kibaya sana..kila mtu ataubaini huu ukweli kwa wakati wake..
Tafuta hela acha kulalamika[emoji851]Tatizo kuu la wanawake wa kibongo wanapenda kulipiwa bills!
Wakiwapata walipa bills wanatafta wapenzi wapya maana mtoa pesa anakuwa bidii yake imeishia kwenye kulipa bills Mapenzi sio sana! Akifumaniwa anaachwa anaanza upya kutafta mlipa bills mwengine and the cycle continues!
Simu umenunua wewe pamoja na hili bundle humu? Usiongee kama hufirwi weweTafuta hela acha kulalamika[emoji851]
Umeamka na pombe? Mbona matusi asubuhi aseeSimu umenunua wewe pamoja na hili bundle humu? Usiongee kama hufirwi wewe
Unaongea ujinga mzee! Shirikisha ubongo kabla ya kuropoka upuuziUmeamka na pombe? Mbona matusi asubuhi asee