Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mi nshamwambia haiombwi hivyo 😹Nje ya mada, kuna nini kinaendelea Evelyn Salt ??Mbona mambo ya zamani yanafukuliwa?? Mzima??
Ni mie unaniita zezeta 😔😔😔😔Humu kila mmoja anaanziaga kwenye foolish stage halafu taratibu anaenda kwenye mature stage
Mfano ni huyu mtoa mada kwa sasa kawa mjanja wakati alikuwaga zezeta tu
Uko wapi, nije tuongee kwa kirefu 😹Kww hiyo Evelyn Salt unasemaje, bado kuna void moyoni. Tupo hapa wazee wa kazi tutaujaza hadi ufurike🤣
Kwema bro 😹Bro Evelyn Salt kwema
Kwani wewe ndiyo mtoa mada?🤣Ni mie unaniita zezeta 😔😔😔😔
Ngoja kwanza msimu wa sikukuu uishe..............
Jf imenipa bwana idumu milele 😹Wamefukua huku Evelyn Salt na Kuku nukuu yako ipo bado.
Ulipata bwana ndio ukafuta post yako though ilikuwa quoted tayari?
Unaendeleaje? Mume?
Kuna mtu anakutaka, anatumia njia ya kufukua makaburi?? Nani huyu??Mi nshamwambia haiombwi hivyo
Baada ya kumaliza kuukalia ndo unaniita? Ungeniita tukalie wote ndo inanoga.....Njoo uukalie
Jf imenipa bwana idumu milele 😹
Kuna watu hawana akili kabisa asee kwa kweli njia anazotumia ni za kitotoKuna mtu anakutaka, anatumia njia ya kufukua makaburi?? Nani huyu??
Bonge la mshamba na limbukeni! Huyu atakuwa mama boy siyo mwanaume! Hizi tamthiliya hasa za Kifilipino zinaharibu sana watoto wa kiume!