Nimemiss sana mademu wa club

Ndio shida ya waafrika... ndoa huwa mnaifanya ni jehanam.....

Nani kakwambia ukiwa ndoani kwenda club marufuku? Acheni utumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Comrade
Nakuunga mkono
Akili za Waafrika wengi sijui zikoje sijui ndio hizi dini za kuletewa na Wazungu na Waarabu

Life is about happiness
Mungu ameetuumba tuish kwa furaha tukiinjoi huu ulimwengu na vyote vilivyomo

Mfano kwenda Club kuupa Moyo furaha na kufurahi na marafk na ndugu sio dhambi kwa Mungu

Chief Economist
 
Hapa feeling is not mutual, wako wapi mademu wa club mrudishe mapenzi kwa huyu mwanandoa.
 
inanoga unaalka na majiran unaweka playlist ya ngoma za club mnachez

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone



mhhh inategemea na mume ulonaye aic.... hakawii kuzima mziki akiona mkewe anayarud majiran wanakuangalia tu! raha ya club unajiachia... hakuna anaekuangalia... na raha ya kucheza kutana na anaejua kucheza yan utahesabu masaa upo dancing floor...unaanzaje kucheza na jirani,, mhh hapana aic!..ndo bas tena
 
Wanaume wengne hatuna wiv we ukiona mmeo amebambia unapat wivu

Sent from my Android phone
 
unakumbuka ulivyokuwa unabaishiwa au?
 
pole sana mhenga mwenzangu siku ukirud dar kajimix walau siku 1...nimepita sinza last weeks kuna mabadiliko kweli kweli yan!.. me naitafuta hyo siku nikabang kias aic nisuuze moyo...
sinza ipi iyo?

au club ipi iyo?
 
hehehe na kweli majukumu ya ndoa hayamuachi mpenda mizki salamA,,,... mm pia huwa namis sana jaman kwenda mziki aic! kifupi nna KIU!... ndo basi tena
Siku ikija mwanza kwa wajomba zako nijulishe ili nikitoe

mwanza kwetu
 
Hapo karibu na salma cone inaitwa DELUX. Ila siku hizi kumechoka

mwanza kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…