Nimemkamata mwizi wa Taa (balbu) usiku wa leo

Nimemkamata mwizi wa Taa (balbu) usiku wa leo

Inashangaza na inaskitisha...

Ilikua ni majira ya usiku saa saba na ushee usinigzi uligoma kabisa nilikuwa naumwa, tumbo lilikuwa linasokota nikatoka nje kuskilizia maumivu, sasa nikiwa nmekaa kwenye maua yaliyostawi niliona kwa jirani yangu taa za nyumba yake zimeanza kuzima moja baada ya nyingine.

Baadae hapo hapo kwa jirani kulikuwa na taa kubwa ameiweka nyuma ya nyumba nikamuona mtu akielekea kuifuata hiyo taa alipofika eneo ilipo huku mimi nausoma mchezo, taa ilikuwa juu zaidi taa ilizima ghafla jamaa alikua ameshikilia ndoo ndogo ambapo akitoa taa anatumbukiza kwenye hiyo ndoo na fimbo ndefu yenye kimduwala juu

Fimbo imefungiwa chupa la maji lililokatwa likawa na shimo hakuna taa inayoruka ina maana taa inasonteshewa fimbo inakandamizwa na kuchekecha kidogo basii taa inakua imetoka inabakia kwenye li chupa

Basi alitoka hapo nikamuona anaelekea kwangu moja kwa moja nyuma ya nyumba nikafuata taratibu amekalia kuangalia taa nikatokea nyuma yake nikamkaba nikamwambia TULIA UTAKUFA akawa mpole akaanza kujitetea, kwanza karibia mtaa mzima ukua giza utafikiri hatuna luku.

Nikachukua tukaongozana kwa jirani nikamuita jirani akaamka akauliza kuna nini usiku huu? Nkamuuliza hauna luku mbona giza, akasema mbona taa za ndani zinawaka labda zitakua zimeungua, nikawambia huyu hapa mwizi wa taa zako.

Jamaa alipigwa vichwa viwili akaulizwa huwa unapeleka wapi alijibu fasta huwa napeleka machimboni nauza bei ndogo, anasema ikijaa ndoo ndogo ninayozunguka nayo mitaani naenda kumimina kwenye ndoo kubwa (diaba) nililolipaki sehemu, aisee tulimpiga tukaongozana akatupeleka lilipo lindoo likubwa, taa zilikua nyingi kwakweli.

Tukaamua tumpeleke police tukiwa njiani kuelekea huko njiani tukawekwa chini ya ulinzi na walinzi wa mitaani tukaelezea mwanzo mwisho wakatuelewa maana kidhibiti alikua nacho mwizi, tulirudi kulala walinzi tukawakabidhi mtu huyo ndio walimpeleka polisi.


Yuda Exalioth
Natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.
Huyo ilitakiwa mumle makalio

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kumpeleka mtu Police ni sawa na kuwapelekea pesa ya ulaji police..Wewe ungekuwa na akili ungemwambia nigawie mpunga tumalizane.
sasa ulaji wamepewa police..Naamin kufika tu police amewachia 20,000 akachomoka zake..sasa mnaanza bifu ya mtaani isiyokuwa na sababu..mkimalizana na mchinjana huko Geita.
 
Kuna jamaa walimdaka mwizi wa kuku, walimpiga kimya kimya wakamwambia ukilia tu tunakuitia mwizi[emoji4], jamaa alipigika kimya kimya mwisho wakamvunja mguu wakwambia undoka, jamaa alitambaaa na kupotelea porini huko
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Inashangaza na inaskitisha...

Ilikua ni majira ya usiku saa saba na ushee usinigzi uligoma kabisa nilikuwa naumwa, tumbo lilikuwa linasokota nikatoka nje kuskilizia maumivu, sasa nikiwa nmekaa kwenye maua yaliyostawi niliona kwa jirani yangu taa za nyumba yake zimeanza kuzima moja baada ya nyingine.

Baadae hapo hapo kwa jirani kulikuwa na taa kubwa ameiweka nyuma ya nyumba nikamuona mtu akielekea kuifuata hiyo taa alipofika eneo ilipo huku mimi nausoma mchezo, taa ilikuwa juu zaidi taa ilizima ghafla jamaa alikua ameshikilia ndoo ndogo ambapo akitoa taa anatumbukiza kwenye hiyo ndoo na fimbo ndefu yenye kimduwala juu

Fimbo imefungiwa chupa la maji lililokatwa likawa na shimo hakuna taa inayoruka ina maana taa inasonteshewa fimbo inakandamizwa na kuchekecha kidogo basii taa inakua imetoka inabakia kwenye li chupa

Basi alitoka hapo nikamuona anaelekea kwangu moja kwa moja nyuma ya nyumba nikafuata taratibu amekalia kuangalia taa nikatokea nyuma yake nikamkaba nikamwambia TULIA UTAKUFA akawa mpole akaanza kujitetea, kwanza karibia mtaa mzima ukua giza utafikiri hatuna luku.

Nikachukua tukaongozana kwa jirani nikamuita jirani akaamka akauliza kuna nini usiku huu? Nkamuuliza hauna luku mbona giza, akasema mbona taa za ndani zinawaka labda zitakua zimeungua, nikawambia huyu hapa mwizi wa taa zako.

Jamaa alipigwa vichwa viwili akaulizwa huwa unapeleka wapi alijibu fasta huwa napeleka machimboni nauza bei ndogo, anasema ikijaa ndoo ndogo ninayozunguka nayo mitaani naenda kumimina kwenye ndoo kubwa (diaba) nililolipaki sehemu, aisee tulimpiga tukaongozana akatupeleka lilipo lindoo likubwa, taa zilikua nyingi kwakweli.

Tukaamua tumpeleke police tukiwa njiani kuelekea huko njiani tukawekwa chini ya ulinzi na walinzi wa mitaani tukaelezea mwanzo mwisho wakatuelewa maana kidhibiti alikua nacho mwizi, tulirudi kulala walinzi tukawakabidhi mtu huyo ndio walimpeleka polisi.


Yuda Exalioth
Natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.
Tuje kufuata nini Geita, wakati michongo yetu unatuharibia, taa kitu gani bana una mind!
Afu huko kwenu ni washamba sana mnanunua hadi balbu?
 
Inashangaza na inaskitisha...

Ilikua ni majira ya usiku saa saba na ushee usinigzi uligoma kabisa nilikuwa naumwa, tumbo lilikuwa linasokota nikatoka nje kuskilizia maumivu, sasa nikiwa nmekaa kwenye maua yaliyostawi niliona kwa jirani yangu taa za nyumba yake zimeanza kuzima moja baada ya nyingine.

Baadae hapo hapo kwa jirani kulikuwa na taa kubwa ameiweka nyuma ya nyumba nikamuona mtu akielekea kuifuata hiyo taa alipofika eneo ilipo huku mimi nausoma mchezo, taa ilikuwa juu zaidi taa ilizima ghafla jamaa alikua ameshikilia ndoo ndogo ambapo akitoa taa anatumbukiza kwenye hiyo ndoo na fimbo ndefu yenye kimduwala juu

Fimbo imefungiwa chupa la maji lililokatwa likawa na shimo hakuna taa inayoruka ina maana taa inasonteshewa fimbo inakandamizwa na kuchekecha kidogo basii taa inakua imetoka inabakia kwenye li chupa

Basi alitoka hapo nikamuona anaelekea kwangu moja kwa moja nyuma ya nyumba nikafuata taratibu amekalia kuangalia taa nikatokea nyuma yake nikamkaba nikamwambia TULIA UTAKUFA akawa mpole akaanza kujitetea, kwanza karibia mtaa mzima ukua giza utafikiri hatuna luku.

Nikachukua tukaongozana kwa jirani nikamuita jirani akaamka akauliza kuna nini usiku huu? Nkamuuliza hauna luku mbona giza, akasema mbona taa za ndani zinawaka labda zitakua zimeungua, nikawambia huyu hapa mwizi wa taa zako.

Jamaa alipigwa vichwa viwili akaulizwa huwa unapeleka wapi alijibu fasta huwa napeleka machimboni nauza bei ndogo, anasema ikijaa ndoo ndogo ninayozunguka nayo mitaani naenda kumimina kwenye ndoo kubwa (diaba) nililolipaki sehemu, aisee tulimpiga tukaongozana akatupeleka lilipo lindoo likubwa, taa zilikua nyingi kwakweli.

Tukaamua tumpeleke police tukiwa njiani kuelekea huko njiani tukawekwa chini ya ulinzi na walinzi wa mitaani tukaelezea mwanzo mwisho wakatuelewa maana kidhibiti alikua nacho mwizi, tulirudi kulala walinzi tukawakabidhi mtu huyo ndio walimpeleka polisi.


Yuda Exalioth
Natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.

Mmemkabidhi kwa walinzi wa mitaa ambao pamoja na uwepo wao bado jamaa alikuwa anajaza diaba na mitaa kuwa gizani?

Kwamba mnaamini watanfikisha kunakohusika kweli? Vipi wakiamua kuvuta chao na kumuachia huyo mwizi mtajuaje? Je mwizi wenu mlimtambua au ilikuwa sura ngeni? Maana kama mngemtambua angeogopa kuiba tena hapo mtaani lakini kama ni vinginevyo inakuwa ngumu kidogo kuamini kwamba mchezo mmeumaliza.
 
Duh, hao Walinzi walimfikisha salama kweli...maana nao huwa wana kiu ya kugawa kipondo balaa.
 
Inashangaza na inaskitisha...

Ilikua ni majira ya usiku saa saba na ushee usinigzi uligoma kabisa nilikuwa naumwa, tumbo lilikuwa linasokota nikatoka nje kuskilizia maumivu, sasa nikiwa nmekaa kwenye maua yaliyostawi niliona kwa jirani yangu taa za nyumba yake zimeanza kuzima moja baada ya nyingine.

Baadae hapo hapo kwa jirani kulikuwa na taa kubwa ameiweka nyuma ya nyumba nikamuona mtu akielekea kuifuata hiyo taa alipofika eneo ilipo huku mimi nausoma mchezo, taa ilikuwa juu zaidi taa ilizima ghafla jamaa alikua ameshikilia ndoo ndogo ambapo akitoa taa anatumbukiza kwenye hiyo ndoo na fimbo ndefu yenye kimduwala juu

Fimbo imefungiwa chupa la maji lililokatwa likawa na shimo hakuna taa inayoruka ina maana taa inasonteshewa fimbo inakandamizwa na kuchekecha kidogo basii taa inakua imetoka inabakia kwenye li chupa

Basi alitoka hapo nikamuona anaelekea kwangu moja kwa moja nyuma ya nyumba nikafuata taratibu amekalia kuangalia taa nikatokea nyuma yake nikamkaba nikamwambia TULIA UTAKUFA akawa mpole akaanza kujitetea, kwanza karibia mtaa mzima ukua giza utafikiri hatuna luku.

Nikachukua tukaongozana kwa jirani nikamuita jirani akaamka akauliza kuna nini usiku huu? Nkamuuliza hauna luku mbona giza, akasema mbona taa za ndani zinawaka labda zitakua zimeungua, nikawambia huyu hapa mwizi wa taa zako.

Jamaa alipigwa vichwa viwili akaulizwa huwa unapeleka wapi alijibu fasta huwa napeleka machimboni nauza bei ndogo, anasema ikijaa ndoo ndogo ninayozunguka nayo mitaani naenda kumimina kwenye ndoo kubwa (diaba) nililolipaki sehemu, aisee tulimpiga tukaongozana akatupeleka lilipo lindoo likubwa, taa zilikua nyingi kwakweli.

Tukaamua tumpeleke police tukiwa njiani kuelekea huko njiani tukawekwa chini ya ulinzi na walinzi wa mitaani tukaelezea mwanzo mwisho wakatuelewa maana kidhibiti alikua nacho mwizi, tulirudi kulala walinzi tukawakabidhi mtu huyo ndio walimpeleka polisi.


Yuda Exalioth
Natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.
Umenikumbusha kisa kimoja, kuna siku tulikamata mwizi mtaani kwetu mishale ya usiku mkali sana kama saa nane hivi, tukaamua kumpeleka polisi kwa hatua zaidi za kisheria, ile tumemfikisha polisi tukaanza kushambuliwa na polisi wale kwa maneno eti wanaume tisa tunamleta mwizi kituoni hajavunjika hata miguu au mikono wakasema ni matumzi mabovu ya muda wa kulala bora tungemuachia tukalale.....
 
Inashangaza na inaskitisha...

Ilikua ni majira ya usiku saa saba na ushee usinigzi uligoma kabisa nilikuwa naumwa, tumbo lilikuwa linasokota nikatoka nje kuskilizia maumivu, sasa nikiwa nmekaa kwenye maua yaliyostawi niliona kwa jirani yangu taa za nyumba yake zimeanza kuzima moja baada ya nyingine.

Baadae hapo hapo kwa jirani kulikuwa na taa kubwa ameiweka nyuma ya nyumba nikamuona mtu akielekea kuifuata hiyo taa alipofika eneo ilipo huku mimi nausoma mchezo, taa ilikuwa juu zaidi taa ilizima ghafla jamaa alikua ameshikilia ndoo ndogo ambapo akitoa taa anatumbukiza kwenye hiyo ndoo na fimbo ndefu yenye kimduwala juu

Fimbo imefungiwa chupa la maji lililokatwa likawa na shimo hakuna taa inayoruka ina maana taa inasonteshewa fimbo inakandamizwa na kuchekecha kidogo basii taa inakua imetoka inabakia kwenye li chupa

Basi alitoka hapo nikamuona anaelekea kwangu moja kwa moja nyuma ya nyumba nikafuata taratibu amekalia kuangalia taa nikatokea nyuma yake nikamkaba nikamwambia TULIA UTAKUFA akawa mpole akaanza kujitetea, kwanza karibia mtaa mzima ukua giza utafikiri hatuna luku.

Nikachukua tukaongozana kwa jirani nikamuita jirani akaamka akauliza kuna nini usiku huu? Nkamuuliza hauna luku mbona giza, akasema mbona taa za ndani zinawaka labda zitakua zimeungua, nikawambia huyu hapa mwizi wa taa zako.

Jamaa alipigwa vichwa viwili akaulizwa huwa unapeleka wapi alijibu fasta huwa napeleka machimboni nauza bei ndogo, anasema ikijaa ndoo ndogo ninayozunguka nayo mitaani naenda kumimina kwenye ndoo kubwa (diaba) nililolipaki sehemu, aisee tulimpiga tukaongozana akatupeleka lilipo lindoo likubwa, taa zilikua nyingi kwakweli.

Tukaamua tumpeleke police tukiwa njiani kuelekea huko njiani tukawekwa chini ya ulinzi na walinzi wa mitaani tukaelezea mwanzo mwisho wakatuelewa maana kidhibiti alikua nacho mwizi, tulirudi kulala walinzi tukawakabidhi mtu huyo ndio walimpeleka polisi.


Yuda Exalioth
Natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.
Njoo unywe bear baridi hapa Bever
 
Mwizi kama huyo unamgeuza mtumwa kwa muda wa mwaka m'moja. Anafungwa minyororo anafanya kazi nzito kwa mijeledi na kichapo kizito akileta uzembe.

Ukimuachia hatorudia tena.
 
Duh, hao Walinzi walimfikisha salama kweli...maana nao huwa wana kiu ya kugawa kipondo balaa.
Your Id reminds me of "SITREP...over"
Back to your comment ,Vijana wa siku hizi wameweka "pesa" mbele kabla ya chochote hata akufumanie na mkewe utasikia
"UNA KIASI GANI TUMALIZANE?"
 
Hongera sana kwa ujasiri wa kumdhibiti mwizi peke yako. Wengine wanatembeaga na silaha ndogo ndogo kama bisibisi au visu. Ulifanya vyema kumtokea kwa nyuma na kumuonya kwanza.
Kweli hata mimi nilijua hilo ndio maana hata yeye hakujua nimejipangeje, cha kwanza nilimwambia NTAKUUA kwa ukali akaogopa asalimu amri,.
 
Kuna jamaa walimdaka mwizi wa kuku, walimpiga kimya kimya wakamwambia ukilia tu tunakuitia mwizi[emoji4], jamaa alipigika kimya kimya mwisho wakamvunja mguu wakwambia undoka, jamaa alitambaaa na kupotelea porini huko
Aisee sijui ujasiri na nguvu hua tunazitoaga wapi unapoibiwa.
 
Back
Top Bottom