Nimemkamata mwizi wa Taa (balbu) usiku wa leo

Mwizi kama huyo unamgeuza mtumwa kwa muda wa mwaka m'moja. Anafungwa minyororo anafanya kazi nzito kwa mijeledi na kichapo kizito akileta uzembe.

Ukimuachia hatorudia tena.
Unamaanisha apelekwe gerezani au
 
Huyo alitakiwa kupigwa doso na kumfungia hiyo ndoo yenye bulbs kwa kamba ya kiatu kwenye pvmbu ining'inie huku akipiga squats mdogo mdogo.
 
Your Id reminds me of "SITREP...over"
Back to your comment ,Vijana wa siku hizi wameweka "pesa" mbele kabla ya chochote hata akufumanie na mkewe utasikia
"UNA KIASI GANI TUMALIZANE?"
Kwakwel,
 
Naona huyu mwenye mashine ya unga aliweka hivi alishaibiwa sana,
 
Hii ni chai kama chai nyingine kama haitakuwa na picha
 

[emoji28][emoji28][emoji28]pole sana mkuu.
Mungu alifanya uumwe tumbo kusudi akukamatishe mwizi wako.
 
Tumbo la kukata ili ugundue kitu! Kama sio tumbo mwizi hangejulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…