Nimemkamata mwizi wa Taa (balbu) usiku wa leo

Mngetakiwa mvunje mguu au mkono au mkaten na mapanga alafu hao walinz nao mngewachanganya kwa kipigo lao moja tu inakuwaje mnaibiwa nawao wako tu alafu ET mkawakabiz mwiz mwiz hakabiziw anatandikwa vizur
 
Mngetakiwa mvunje mguu au mkono au mkaten na mapanga alafu hao walinz nao mngewachanganya kwa kipigo lao moja tu inakuwaje mnaibiwa nawao wako tu alafu ET mkawakabiz mwiz mwiz hakabiziw anatandikwa vizur
Hayo yote tumeyakumbuka badae et
 
Your Id reminds me of "SITREP...over"
Back to your comment ,Vijana wa siku hizi wameweka "pesa" mbele kabla ya chochote hata akufumanie na mkewe utasikia
"UNA KIASI GANI TUMALIZANE?"
Ha ha ha! Kwa uzoefu wangu kitu ambacho nahisi walinzi walifanya
Walimsachi na kuchukua kila kitu alichoiba/
Walimpiga faini (ela ya betri) na kama alitoa kiasi kikubwa walimwacha.

Pia huyo jamaa huenda nae ni sungusungu.
 
Kwa hiyo kaambulia vichwa viwili na mkamwachia jaba lililojaa taa akatokomea kusikojulikana............
 
Kuna mwizi nilimdaka hakuamini ...maaana alikuja kuiba kuku kwenye banda langu sasa mbwa wa jirani walilia sana machale yakanicheza nikatoka kimya kimya jamaa anahangaika kukamata kuku mm nilimpa kichapo kimya kimya sema alichoropoka ila kile kipisi cha nondo kilimpa nundu za kutosha.
 
"inasonteshewa" hahaha
Karibu sumbawanga bro.
 
Alienda kujitibu huko hahaha
 
Kwa hiyo kaambulia vichwa viwili na mkamwachia jaba lililojaa taa akatokomea kusikojulikana............
Sio vichwa viwili vingi sana sema jirani yangu ni mzoefu kwa vichwa aisee,, tulichoka kupiga tukawaachia polisi jamii
 
Huyo alitakiwa kupigwa doso na kumfungia hiyo ndoo yenye bulbs kwa kamba ya kiatu kwenye pvmbu ining'inie huku akipiga squats mdogo mdogo.
tulijisahau mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…